Kipima joto ITV, Renatus Mkinga na TANESCO

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Mnaweza jionea wenyewe uyu mzee anatema nondo kumbe nguzo gharama yake ni 250000 wakatii tanesco wanatugonga milioni na ushee mbaya zaidi nguzo za mufindi pale!
Ni mzee Mkinga kama kawaida yake!
Jionee live sasa apa ITV
 
Mnaweza jionea wenyewe uyu mzee anatema nondo kumbe nguzo gharama yake ni 250000 wakatii tanesco wanatugonga milioni na ushee mbaya zaidi nguzo za mufindi pale!
Ni mzee Mkinga kama kawaida yake!
Huyu mzee kwakweli anaongea mazuri mpaka basi. Laiti wakuu wetu wangekuwa wanasikiliza maoni haya, tungesaidika sana
 
Ranatus Mkinga na sakata la Umeme Tanzania, anaelezea matatizo ya serikali na Mafisadi
 
Ngoja niwahi , huyu mkinga nimewahi kuona video yake moja ktk harakati za Kukataa ufirauni ktk taifa hili.
 
Ila jamaa hana woga kabisaaaaaaaaa
Kumbe kati ya watanzania kumi ni wawili tuu wana umeme nchini Tz.Sasa kama ingekuwa 8/10 ingekuwaje?
TANESCO bwana sound!
 
Naona kama Mkinga anatumia maneno makali sana mf. hawa Tanesco ni wajinga......ila napenda hoja anazozitoa kuhusu tanesco na serikali kwa ujumla.
 
mukinga tanzania inavyanzo 4 vya umeme maji upepo makaa yamawe joto alizi bahati tuliyonayo watanzania
 
Hapa nilipo ni giza totoro. Tanesco hawa, Duh! Hebu ngoja nijiimbie nyimbo tulizokua tunaimba enzi hizo ili niimarishe uzalendo kwa taifa langu.

Sisi hapa
Ni watoto wadogo
Twajifunza siasa ya ujamaa

Ama huu
Tanzania tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
 
Kumbe ukixplore sources zote za umeme Tz kuanzia geothermal,hep,wind power etc twaweza pata 10000mw makubwaaa!
Wakati consumption yetu kwa sasa ni hardly 2000mw
 
Mkinga anasema, Tanesco Kigoma wananunua mafuta ya Bilioni 200, halafu wanauza umeme wa milioni 200
 
Tangu mitambo ijengwe enzi za Nyerere Tanesco hawajajenga mtambo wowote wa kufua umeme wakati Nyerere aliweka mpaka na ziada ya umeme kwa mahitaji ya wakati huo.
 
Back
Top Bottom