Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
safari bado ni ndefu, umeme ni swala la kitaalam na technology ya hali ya juu jazba na siasa haziwezi kutatua tatizo la msingi. Bado wanasayansi wanatakiwa kuja na majibu ya kisayansi sio kutaja majina na vyama.
Mkinga anaonekana frustrated na hana hoja ya kutatua tatizo la umeme, kama kutenganisha uzalishaji netgroup solution walisema kitambo ila kutekeleza watu wanabinuka sarakasi, kufukuza AC, EL na RA bado sio njia kwani more investment and capacity ndio vinavyo hitajika
Mkinga anaonekana frustrated na hana hoja ya kutatua tatizo la umeme, kama kutenganisha uzalishaji netgroup solution walisema kitambo ila kutekeleza watu wanabinuka sarakasi, kufukuza AC, EL na RA bado sio njia kwani more investment and capacity ndio vinavyo hitajika