Usiangalie chuo, angalia ni vipi wewe utajiongezea sifa za ziada. Kusoma chuo chenye jina kubwa au ambacho hakina jina haimaanishi kuwa utapata kazi kirahisi au utakosa kabisa.
Katika msafara wa mamba hadi sisimizi wapo. Akili kumkichwa.
kila chuo kiko vizuri kulingana na course mtu anayotaka kusoma as long vyote chini ya tcu na wao ndio huidhinisha mitaala. Swala la kutoa product nzuri pia linategemeana na uwezo wa msomi husika.
hilo sio swali sema..kweli baada ya miaka 3 unatoka umeiva na tayari kwenda kuapply ofcn usiseme ni chuo gani kikali..wengine wanafanyiwa hadi mithani we unasema chuo cha ukweli nenda wewe uone kama sio kila cku c lakni mwenye A hamna kitu kichwaniUsiangalie chuo, angalia ni vipi wewe utajiongezea sifa za ziada. Kusoma chuo chenye jina kubwa au ambacho hakina jina haimaanishi kuwa utapata kazi kirahisi au utakosa kabisa.
Katika msafara wa mamba hadi sisimizi wapo. Akili kumkichwa.
Kwa tanzania ukizungumzia chuo ni UDSM TUUUUUUU.
nina waswas na uwezo wako wa kufikiri. Ebu vua ilo gamba la kufikiri kijuha although hautabadilika sana.Kwa tanzania ukizungumzia chuo ni UDSM TUUUUUUU.