Kipi ni chuo kinachotoa products zinazouzka sokoni hapa tanzania?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Habari zenu wana jf!naomba kujuzwa kipi ni chuo knachotoa products znazokubalika sokon kati ya hivi udsm,sua,ardhi,mzumbe,ifm,muccobs,iaa,tumaini,udom,saut na muhimbili.
 
Katika best 100 universities Africa kwa Tanzania kinaonekana Udsm peke yake.
 
udsm kipo juu kwani ndicho kinachoongoza nchi kwa sasa na ndo kilichotufikisha hapa tulipo mafisadi karibu wote makatibu wakuu na watendaji mbalimbali wa serikali kasoro polis wa arusha na tarime chimbuko lake udsm sijagusa mikataba ya ulaghai ya richmond na madini UDOM tusubili..
 
udsm kipo juu kwani ndicho kinachoongoza nchi kwa sasa na ndo kilichotufikisha hapa tulipo mafisadi karibu wote makatibu wakuu na watendaji mbalimbali wa serikali kasoro polis wa arusha na tarime chimbuko lake udsm sijagusa mikataba ya ulaghai ya richmond na madini UDOM tusubili..

Nafikiri kakuelewa,aende chuo chochote kinachotambulika kisheria akasome aelimike ili ategemewe na Tanzania siyo aitegemee Tanzania.
 
Usiangalie chuo, angalia ni vipi wewe utajiongezea sifa za ziada. Kusoma chuo chenye jina kubwa au ambacho hakina jina haimaanishi kuwa utapata kazi kirahisi au utakosa kabisa.
Katika msafara wa mamba hadi sisimizi wapo. Akili kumkichwa.
 
Western College, jengo la ccm mkoa ghorofa ya 7, ukimaliza hapo masuala ya hotel, kazi nje nje
 
Senetor umesoma masomo gani? Kwa kua Km unainterest na kozi za Engineering COET iliyo chini ya UDSM ni adequate ...Beside km una interest na Architectural & Land studies apply Ardhi University ndo mahala pake....MUCCoBs ni suitable kwa Co-operative & Business Studies while Mzumbe wako poa kwenye Law,Tumaini,SAUT sirecomend sana labda uwe na interest ya Theology Bt Kwa Medicine/Pharmacy Muhimbili UHASC umefika! Salam zako.
 
tunako elekea tutauliza wewe ni wawapi!kwanni vyou vyotesi vinatambuliwa na TCU,acheni ubaguzi.
 
Senetor umesoma masomo gani? Kwa kua Km unainterest na kozi za Engineering COET iliyo chini ya UDSM ni adequate ...Beside km una interest na Architectural & Land studies apply Ardhi University ndo mahala pake....MUCCoBs ni suitable kwa Co-operative & Business Studies while Mzumbe wako poa kwenye Law,Tumaini,SAUT sirecomend sana labda uwe na interest ya Theology Bt Kwa Medicine/Pharmacy Muhimbili UHASC umefika! Salam zako.
<br />


Muccobs kipo wapi Kaka?
 
Senetor umesoma masomo gani? Kwa kua Km unainterest na kozi za Engineering COET iliyo chini ya UDSM ni adequate ...Beside km una interest na Architectural & Land studies apply Ardhi University ndo mahala pake....MUCCoBs ni suitable kwa Co-operative & Business Studies while Mzumbe wako poa kwenye Law,Tumaini,SAUT sirecomend sana labda uwe na interest ya Theology Bt Kwa Medicine/Pharmacy Muhimbili UHASC umefika! Salam zako.

mkuu ina maana tumaini na saut wamespecialize kwenye theology peke yake?
 
vyuo vyote ni fresh tu,so long as vinatambulika na course as well zinatambuliwa na TCu!
kuna cku nilikua kwenye daladala nkackia washkaj flan hv ambao kwa kuwaangalia 2 ni kama wametoka kwenye interview,nkackia wanaongea kwamba,hlo shirika ambalo ni la umma,na lnalojhusisha na kusambaza umeme hapa tz,lnapendelea baadh ya vyuo kama udsm,sua,mzumbe ,jamaa wengne nao nkawackia cku flan hv wanalalamika eti crdb,nbc,nmb,wao wanawapendelea sana wa2 wa sua,sa ndo nkawa najiulza ni kwamba vyuo vngne products zao ni haziaminik kwa waajir au vp?
 
kila chuo kiko vizuri kulingana na course mtu anayotaka kusoma as long vyote chini ya tcu na wao ndio huidhinisha mitaala. Swala la kutoa product nzuri pia linategemeana na uwezo wa msomi husika.
 
Back
Top Bottom