kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,342
- 6,495
Mkuu unapoongea kitu jaribu kuwa mkweli and kuwa na uhakika na unachoongea.kuna ndugu yangu mwaka jana ameajiriwa chuo cha ualimu na hakuwa mwalimu from secondary,kamaliza form six kaingia chuo kamaliza kapata post chuo cha ualimu.
Nilichoandika ndio mpango uliopo, kama ujuavyo utekelezaji ni kitu kingine.