Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
sio tu kua jamaa ana viwanja vingi (94) Dar nzima, ila ktk plot iliyopimwa yenye viwanja 130, hivyo 94 kamilikishwa yeye.
Uamuzi gani basi umechuliwa wa kivitwaa hivyo viwanja na kuwamilikisha waliokosa? Nijuavyo mimi mtu mmoja anakuwa amepewa ofa ili atafute wanunuzi, akifika bei ile ofa inaenda badilishwa jina. Hii ni mbinu tuu ya kuwapiga chenga TAKUKURU.