Arsenal leo tuna furaha ya kufa mtu.HUYUUUU JAMAA SHABIKI MKUBWA WA ARSENAL YAAN ULE MOTO WA WASHIKA BUNDUKI NDCHO ANAFANYA ARSENAL HUKO HT 0-4 LOH
Na wewe ni lijinga fulani hivi!! Mission gani wakati unambiwa, Dogo alikuwa anaenda kuuza dhahabu, polisi wakataka kumudhulu, happy ndipo kizazaa kilipoanzia!! Dogo akawashambilia polisi na kuchukua bunduki zao!! Kama angekuwa gaidi? Mbona hakulenga ubalozi wa ufaransa!! Mbona hakushambulia raia? Yeye shida yake ilikuwa polis!
Kuna habari mpya humu tena kuwa jamaa alikuwa mchimbaji wa dhahabu Chunya
Yaani hiyo ndio imenishtua tena ila tuombe ukweli uwekwe wazi kama ilikuwa ni dhulma au
Wote walioshirikiana naye au kuwasiliana kabla ya tukio wanafaa kuchunguzwa.Labda tayari Kuna underground network ya magaidi ( sleeper cell)
Yaaan m Chelsea ila wamenifurHishaa sanaArsenal leo tuna furaha ya kufa mtu.
Gaidi ni gaidi huko kuchimba dhahabu ni kuficha uovu
Haya yanatakiwa yarudi somalia yakauane yenyewe
Gaidi ni gaidi huko kuchimba dhahabu ni kuficha uovu
Haya yanatakiwa yarudi somalia yakauane yenyewe
Natamani wote hapa wangekuwa na akili timamu kama ww kuhusu hili tukio, ila sisi Wabongo tunajifanya wajuaji sana. Umeelezea vyema mno.Mkuu kwa ufahamu wangu mdogo kumzimisha mtu kama huyo ni process.
Pengine askari walikuwa wako horizontal na huyo mtu alafu hayo ni makazi ya watu,lazima askari wawe wqtulivu sana kwa sababu wakikosea ujue SMG risasi yake inaenda umbali wa zaidi hata ya KM 3 hivyo wakimkosa basi ndani ya umbali wa 3km ikimgusa mtu anaanguka.
Askari wakitumia vibaya risasi zao kupigapiga tu na risasi inaenda masafa marefu matokeo yake ni kuuwawa watu wasio na hatia.
Ingelikuwa rahisi sana kama kuna sniper yuko juu huyo jamaa angelipotea kabisa.
Lakini shida ni kuwa wote wapo chini,adui hana cha kupoteza lakini askari anatakiwa aangalie akilenga akamkosa hatodhuru watu wengine wa pembeni ?
Na inategemea askari yupo engo gani.
Kuna clip nimeiona askari akiwa anatambaa chini kumuwinda huyo jamaa nitaiweka hapa chini.
Matukio kama hayo raia anachanganyikiwa sisemi kwa askari ambae anatakiwa awalinde watu na kujilinda mwenyewe.0
Inasemekana aliwapora askari walikuwa wamekaa kibandani
Nimeskia shuhuda mmoja alikuwa anaelezea
Global TV
Ova
Duuh!
Askari aliyeporwa ni mzembe kupita kiasi.
Unaporwaje bunduki ya kivita kizembezembe tu.
Tunajua hili lazima ni suala la uanaharakati wa kidini kwa huyu kijana msomali kuua asjari wawili wa polisi.
Nimesikitikia utayari wa polisi wetu waliokuwa lindo, kuvamiwa na silaha kuchuliwa na wao kuuwawa.
Halileti picha nzuri kwa utayari wa askari wetu.
Hata hivyo RIP vijana wetu.
Waliouawa hawakuwa traffics,ni askari wenye silaha na tena walinyang'anywa silaha.
Waendelee kupambana na wapinzani na Magaidi feki,ila magaidi halisi wakipiga simu pokeeni msikimbie maana wameanza kwa kubeep kwanza.
Kumbuka hizo bunduki amepora hao hao vyombo vya ulinzi.. huo nao huoni ni udhaifu wa hiyo system unaipigia promo?
Ndo kinachosemekana mkuu.. maana inavoonesha jamaa ni kama aliwapora askari hizo bunduki kisha akawashambulia... Hata mimi bado nashangaa kama wewe imekuwaje askari anaporwa bunduki.
Oya wazee, em tumieni akili hata ndogo tuu. Video za mwanzoni ni ile yupo karibu na daladala na bajaji huku tayari akiwa na silaha akipiga juu sasa kama polisi walinyang'anywa silaha ilikuwaje mpaka yupo pale karibu na daladala hakuna polisi kuja kumshambulia mana alipora silaha.?Huenda siraha yao ndio imetumika kuwaua. Pengine hata mhalifu hakuwa na siraha yake.
Wewe pia ni jinga kubwa, kwahy alivopora silaha akaondoka hilo eneo bila shida yoyote kushambuliwa na polisi.? Hao polisi walioporwa wakamuangalia tuu mpaka anatokomea na kwenda kule kwenye daladala au aliwaua hao police aliowapora silaha.? BogusNa wewe ni lijinga fulani hivi!! Mission gani wakati unambiwa, Dogo alikuwa anaenda kuuza dhahabu, polisi wakataka kumudhulu, happy ndipo kizazaa kilipoanzia!! Dogo akawashambilia polisi na kuchukua bunduki zao!! Kama angekuwa gaidi? Mbona hakulenga ubalozi wa ufaransa!! Mbona hakushambulia raia? Yeye shida yake ilikuwa polis!
Utofauti wa ulichoandika na mm nilichoandika ni kwamba ww umeandika kutokana na kusoma watu walichoandika kwenye mitandao pasipo wewe mwenyewe kujua ni kweli au siyo, mimi nimeandika kutokana na kwamba adui akitaka kukumshambulia ni lazima kwanza ajue udhaifu wako ili awe na uhakika wa kile anachokifanya. Hao watu wako very smart kwenye kazi zao hawawezi kwenda sehemu kushambulia bila kuwa na info zote kuhusu hilo eneo.Na wewe ni lijinga fulani hivi!! Mission gani wakati unambiwa, Dogo alikuwa anaenda kuuza dhahabu, polisi wakataka kumudhulu, happy ndipo kizazaa kilipoanzia!! Dogo akawashambilia polisi na kuchukua bunduki zao!! Kama angekuwa gaidi? Mbona hakulenga ubalozi wa ufaransa!! Mbona hakushambulia raia? Yeye shida yake ilikuwa polis!
Inavyoonekana aliwaua ndio akazibeba hizo silaha. Jamaa alikua anadeal na askari tu.Wewe pia ni jinga kubwa, kwahy alivopora silaha akaondoka hilo eneo bila shida yoyote kushambuliwa na polisi.? Hao polisi walioporwa wakamuangalia tuu mpaka anatokomea na kwenda kule kwenye daladala au aliwaua hao police aliowapora silaha.? Bogus
Kuna watu mkisikia neno ccm cjui akilini mwenu kunatokea funza wanaanza kula ubongo mpaka mnashindwa kufikiria kwa usahihi. Huyo jamaa wa ccm na huyo aliyeuwawa ni watu wawili tofauti.Daaah, ndio nimeiona aiseee.., daah, halafu alikuwa Kada wa CCM aisee....
Daah jamaa em tumia akili basi, kwahy jumla ameua polisi wangapi.? Mana pale walipokuwa wanashambuliana aliua jumla wanne sasa em nambie na hao wengine walionyang'anywa silaha walikuwa wangapi na wameuawa wangapi.?Inavyoonekana aliwaua ndio akazibeba hizo silaha. Jamaa alikua anadeal na askari tu.