Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 975
- 47
- Thread starter
- #21
Anne Kilango Malecela na Mbunge wa Vunjo Aloyce Kimaro wameibuka na kumwamwambia Kingunge kuwa ni nabii wa mafisadi. wamemtaka atofatishe CCM ya mwaka 1977 na sasa. wamesema Nyerere angefufuka angemzaba kibao kwa maneno anayoyaongea kuhusu mafisadi