Ochu
JF-Expert Member
- May 13, 2008
- 975
- 47
katika hali ya kushangaza Mbunge wa kuteuliwa Kingunge Ngombare mwiru amewashangaa wabunge wa CCM wanaoiponda serikali kwa madai ya maslahi ya taifa badala ya kukutetea na kukilinda chama chao. Amesema katika hali hii wabunge wa CCM wanasaidia wapinzani bila kujijua.
alitoa kauli hiyo juzi wakati anapokea maandamano ya wanaCCM wa dodoma walioandamana kuunga mkono hotuba ya rais bungeni
alitoa kauli hiyo juzi wakati anapokea maandamano ya wanaCCM wa dodoma walioandamana kuunga mkono hotuba ya rais bungeni