Kinara wa demokrasia na haki za binadamu duniani anatumia nguvu kuzuia maandamano ya amani kupinga mauaji Gaza

Ni ujinga ujinga tu. Yaani wakati waislamu wakifanya mauaji ya wayahudi basi vifijo na nderemo mpaka misikitini na kibaya kabisa wauaji ni mashujaa, ila sasa eti aljazeera wanaandika mauaji kimbari Gaza. Hivi vita siyo vya kwentu, kwa sisi wasomaji wa bibilia ni wayahudi siku zote watapigani hiyo ardhi na Mungu wao wa kweli atakuwa nao muda wote, hapo wanatakeleza agizo la Mungu wao na wakikosea ndiyo maana huwa wanapata adhani ya vifo, so kwa sisi tuliombali ukasirike/uchukie ila wapalestina they will always die kwa sababu haya ni mambo ya miungu ya wapalestina na Mungu wa wayahudi. Mi ndiyo maana siumizi kabisa kichwa kutafuta nani mkweli au anaonewa maana wote they’re fighting kwa ajili ya taifa lao husika. Kibaya zaidi wapalestina wamemfanya kila rais kuwa mpiganaji wakati huo huo na wayahudi nao wamefanya hivyo hivyo then mimi toka huku Tanganyika nianze kushabikia ugomvi wa watu wanaojuana no kabisa
Ushabiki wa vita usiwe kama mambo ya Simba na Yanga watu wakufa Pale tuonee watu huruma wanakufa bila hatia
 
Marekani inaendeshwa na Israel kwa hiyo lazima icheze Double Standards!
Kuiridhisha Israel lakini wakati huo huo kulinda maslahi yake!
 
pro US hii habari imewaumiza sana mioyo!
hio nchi haina demokrasia, uhuru wa habari wala free speach kama wanavyotuaminisha!

ni nchi kama zilivyo nchi zingine,
 
Wewe ndiyo bendera fuata upepo, ni wavivu tu wanaochukua side uliyopo, kwasababu ni rahisi tu. Kwamba matatizo Palestina yameaanza Oct 7th, Israel has the right to defend itself, wanayahudi wananyanyaswa na blah blah nyingine. Hamna context wala nuances. Kwahiyo wewe unaujua ukweli zaidi ya wayahudi wanaopinga uhuni wa Israel?
Hiyo atakuwa ni mlokole ni wale wanaamini hata ukimpa muisraeli tigo na ww utabarikiwa mtu kama huyu utambadulishaje kwa mfano
 
Hiyo atakuwa ni mlokole ni wale wanaamini hata ukimpa muisraeli tigo na ww utabarikiwa mtu kama huyu utambadulishaje kwa mfano
Well, kiukweli kabisa, Kichuguu ni mtu na heshima zake na ni msomi mzuri. Tatizo lake katika hili, nadhani ana angalia sana corporate media, yupo corrupted.
Nitaishia hapo…..
 
Umeielezea Marekani kama ina serikali moja inayo control kila kitu na hiyo serikali inaji contradict.

Wakati hata hiyo katiba ya nchi unayoisema imetoa mamlaka ya kiugatuzi wa madaraka kugawa madaraka mengine kwenye serikali za chini.

Marekani ni nchi inayohitaji nuance kuiongelea, usiiongelee ki mburula mburula tu kama vile ni nchi isiyo na nuance.
Ubaya wa wayahudi ukisemwa inakuwa hate speech, ukisemwa wa waarabu ni free speech.
 
pro US hii habari imewaumiza sana mioyo!
hio nchi haina demokrasia, uhuru wa habari wala free speach kama wanavyotuaminisha!

ni nchi kama zilivyo nchi zingine,
Hata North Korea hatusikii mambo ya kishenzi kama yanayotokea sasa marekani. 😆😆
 
Marekani haipo huru kama wengi mnavyofikiria. Ile nchi inaendeshwa na kundi la wachache wenye nguvu.
Wameanza kutafuta mchawi. Hayo hapo chini yamesemwa na aliyekuwa spika, Pelosi.

“It’s in Putin’s interest for – what’s his name? – to win. And therefore I see some encouragement on the part of the Russians of some of what is going on,”
 
Ubaya wa wayahudi ukisemwa inakuwa hate speech, ukisemwa wa waarabu ni free speech.
Mimi siko kwa wayahudi wala waarabu, wala sijasema hate speech.

Nasema tu ukianza habari za "serikali hiyo hiyo" ni ujinga.

Marekani kuna serikali ya nchi, za majimbo, za miji, mpaka za vyuo zina polisi wake.

Na zote hizi hazikubaliani kwenye kila kitu.
 
Hazikubaliani hata kwenye haki za kikatiba za wananchi? Au kuna serikali zisizoitambua katiba ya nchi!
Katiba ya nchi ina kesi kibao kati ya serikali hizi zinapingana kuhusu tafsiri mpaka Supreme Court.

Don't make it that simple.
 
Back
Top Bottom