chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Jamani wana JF vipi hiki kichwa kimerudi?
Well, una maana Zanzibar sio Tanzania? au una maana iliyokuwa Tanganyika ndio Tanzania? All in all wanasegerea amameonesha nini Pumba na nini si Pumba. I wonder Kiyabo wa CCJ ambaye sasa yuko CCM anafanya nini? yeye hata kugombea hakugombea.
Yaani siku zote mlikuwa bado hamjahesabu?Mpaka sasa tunaongoza kata tano na tumepata madiwani wawili,segerea na kimanga,cuf wamepata buguruni na vingunguti,mahanga kapata madiwani watatu lkn ubunge ameongoza kinyerezi tu tena kwa kura 200 tu.
Peoplessssssss
Mpaka sasa tunaongoza kata tano na tumepata madiwani wawili,segerea na kimanga,cuf wamepata buguruni na vingunguti,mahanga kapata madiwani watatu lkn ubunge ameongoza kinyerezi tu tena kwa kura 200 tu.
Peoplessssssss
Muda mfupi nimezungumza kwa njia ya simu na mmoja wa wasimamizi wa uchaguzi jimbo la Segerea ambaye pia ni Afisa Mtendaji wa kata moja wapo katika jimbo hilo.
Iko hivi:
- Majumuisho ya kura zote kutoka vituoni yanaonesha Mh. Mpendazoe anaongoza.
Maana yake nini?
- Kila wakala wa chama, baada ya majumuisho anapewa nakala ya idadi ya kura kwa kila kituo. hili ni agizo la waangalizi wa kimataifa(wadhungu) ambako Bwana Mkubwa JK huenda kufanya umatonya.
Matokeo yaliyojumuishwa na mawakala na wasimamizi hayawezi kuchezewa. Hata yakichezewa, nakala za matokeo ni vithibitisho tosha (hata mahakamani) kinachoweza kuwa matokeo yamechakachuliwa.
Kwa hiyo wana-jamvi. Tulieni. Sauti ya umma imesikika Segerea.