</p>Kweli na huko ukonga vipi jamani?
<p></p>
<p> </p>
kawe tyr wametangaza
kama upo hapa dar, hatutaki mamabo ya kuulizia pembeni noo tutekeleze Peoples Power!!!!!!!!SEGEREA matokeo vipi? Na huyu Mahanga kachukuliwa hatua gani?
Mdee kura 43,365Tupe matokeo ya kawe jamani
Duuu MPENDAZOE ananipa raha, CHADEMA bwana!Halima na mnyika nendeni segerea mkashinikize watutangazie mpendazoe,maana ina wauma kumpa mpendazoe maana anajua siri zao
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaa, ikudaya mwana shikambaku kwelikweliina mtua ... Na ughimbi gwa mashiganu gukamala kweli!!
Mdee kura 43,365
CCM kura 34,412
Mbatia kura 11,970
ni za ukweli kapita mimi nipo hapa
Mungu Ibariki CHADEMA mungu mbariki MPENDAZOE
Mungu Ibariki CHADEMA mungu mbariki MPENDAZOE
Usiwe na wasiwasi data zote zipo hata mawakala wana kopi zao stay tuned hujiulizi kwanini husikii tamko lolote, Chadema hawakurupuki wanakusanya data kwanza hata NEC wanalifahamu hilo ndiyo maana wanatangaza kwa kuangalia upepo.Luteni kuna kosa kubwa linaendelea, kwa nini hamchukui kura za uraisi? tupate data zetu na sio tusubiri za NEC