The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Ngoja ngoja kwanza sitaki kukutafutia haraka maana masharobaro wengi wasije wakaanza kukuomba vocha bure lolAfadhali maana ungeondoka na mlenda kwenye nguo...lolz!Hehehe kama ndo hivyo simtaki maana hapa nilipo nna presha tayari!Embu nitafutie wakunifaa basi na mi niringe kama nyie!