Daaa! hawa jamaa wa zimamoto sijui wanasubr nini maana toka watu wafanye usaili walisema baada ya mwezi mmoja lakini mhhhhhh! sio mwezi tena huu hichi kimya lazima watu walie tu.
Tujifunze kutimiza ahadi kama umesema mwezi basi toa kulingana na ahadi kuchelewesha ni kutengeneza wasiwasi kwa walio fanya usail.
ASANTE NAOMBA KUWASILISHA.
Tujifunze kutimiza ahadi kama umesema mwezi basi toa kulingana na ahadi kuchelewesha ni kutengeneza wasiwasi kwa walio fanya usail.
ASANTE NAOMBA KUWASILISHA.