Jose! Punguza ukali kdg! Mtu asiende ht chooni? 2ko kibao 2na preasure na hii mineno tn wengine 2ko Mwz mbali na Dom! Sema lbd 2msubirie mlangoni akitoka tu toilet atupe dataTunataka data hapa za uhakika na ikibidi tupate kinachojiri huko sasa maana kutupa kitu halafu unasema utarudi baadae unatupa jakamoyo
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
ingekuwa JB hapa habari yake ningeiamini haraka, ila kwakuwa wewe bado sijaona nyuzi zako bado nasubiri uthibitisho wa watu wawili watatu.
Nijuavyo mimi ni kuwa asilimia kubwa yenu watu wa pwani mtafurahia sana na mtagonga sana kahawa na ubwabwa kuanzia sasa.
Toa point. UFISADI wa Lowassa ni nini? lete evidence.
Mwalimu kasema, shehe Yahaya Kasema Mfaume kasema (all RIP) au Sitta kasema haitosaidia. Who are they anyway? Saints, Angels?
Tupe evidence acha blah blah. Nikisema wewe ni Mwizi kwa kua hapo unapofundishia unaiba vitabu inakufanya uwe Mwizi?. Lazima niwe na EVIDENCE.
Acheni kucheza ngoma ya watu msioijua.
jamani hali huku ni mbaya mbaya mbaya sana usalama wa taifa uko mashakani yale ya chini ya godoro yanarushwa huku, Mungu ibariki Tanzania kweli kuvua gamba ni sawa na kujifungua (kuzaa) machungu na kuropoka kumbe raisi kwenye kikao cha chama anakuwa mwenyekiti tu hii kiboko
Kwa Ajili ya kuhakikishia mtu wake wa Zenji anakuwa rais anaweza. Huu ni mkakati, hawakukutana barabarai lakini si mtu wa pwani wala si mui......am