kiluwiluwi
Member
- Mar 14, 2011
- 15
- 1
kiluwiluwi naingia bwawani.naombeni ridhaa yenu wenyeji
asante bwana chatu dumeKaribu sana! Kiluwiluwi
hahahaha...hiki sio kiluwiluwi cha mbu ndugu yanguKaribu Kiluwiluwi ni matarajio yangu hiki kiluwiluwi si cha mbu maana malaria haikubaliki
asante bwana sangarakaribu kundini.
karibu sana......
Mh!! Kiluwiluwi........karibu sana, soma hapa chini ni muhimu sana.....
JamiiForums Disclaimer and Rules
KARIBU SANA, UNAPENDA KUOGELEA EEH! Mamba wamo tahadhari.kiluwiluwi naingia bwawani.naombeni ridhaa yenu wenyeji