Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,637
- 10,723
Rejea Pt 1 hapa kilimo cha alizeti
Msimu huu nataka kulima ekari 50 za mahindi na ekari 20 za alizeti
Nitaleta mchanganuo na mrejesho kila hatua
Naingia Shambani very serious kulima Alizeti
Wakuu, Binafsi huwa na Bet sana na bahati nzuri nimemuotea muhindi kama Milioni 40 Na sasa nataka kubet kwenye kilimo Mwaka huu naingia shambani kweli kweli sio utani, naingia FRONT na sio simu Nakwenda kulima ekari 50 za alizeti MBUGANI kisha nikitoa naweka dengu Eneo SINGIDA kwetu kabisa...
www.jamiiforums.com
Msimu huu nataka kulima ekari 50 za mahindi na ekari 20 za alizeti
Nitaleta mchanganuo na mrejesho kila hatua