Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Ni mtaji kiasi gani wafaa kilimo cha kitunguu kwa heka moja?
Wanasema 2m
Ni mtaji kiasi gani wafaa kilimo cha kitunguu kwa heka moja?
Aisee hongera sana mossad007.
Mimi binafsi nalima kitunguu ndo nimeanza mwaka huu 2015 maeneo ya mtandika ndani huko kuna kijiji kinaitwa nyanzwa. Evaluation uliyoitoa ipo sahihi kabisa. binafsi nimekutana na changamoto kama. umbali maana kutoka barabarani mpaka huko kijijini ni kama 45km. na hamna usafiri reliable. lipo tuu gari la kijiji ambalo huondoka saa 11 asubuhi kijijini na hurudi saa 11 jioni.
pia ni sehem ambayo hamna network wala umeme wa tanesco.
pia nafanya remote monitoring ivyo kwa huo umbali usimamizi sio mkubwa sana ila nashukuru MUNGU nina watu wa kuaminika katika hili. cha muhimu tuu ni umakini wa kitunguu mwanzo mpaka mwisho.
Plan yangu ni kusogea barabarani msim ujao maana maeneo kama ruaha mbuyuni mashamba hayapo mbali na barabara kiasi ambacho inakuwa rahisi kufanya usimamizi.
ndugu yangu massod007 naomba uni PM nipate namba yako kwa msaada zaidi.
pia mwenye kufaham wapi kinalimwa kitunguu swaumu anitaarifu.
thanks much
Uliuza wapi na bei ikoje Nina gunia 100 natafuta SOKO ni vitunguu vya ruaha iringa
Mkuu kubota,je hii petrol unamwagilia vipi?na je muda muafaka kulima kwa kilo na ni miezi gani na vinachukua muda gani kukomaa??ahsanteMilioni moja?
Inategemea unalimia wapi?
Inategemea umwagiliaji kwa pampu au mifereji au mvua
Uzoefu wangu huku Kilosa huu:
Mbegu lita 7 kwa ekari @ 25,000/= jumla 175,000/=
Kuandaa kitalu 20,000/=
Kusia mbegu 10,000/=
kutunza kitalu 30,000/=
kukodi shamba 100,000/=
kufyeka shamba 48,000/=
kukatua udongo 64,000/=
kulainisha udongo 48,000/=
kutengeneza majaruba 25,000/=
kupandikiza 160,000/=
dawa ya kuua magugu 40,000/=
palizi mara mbili 100,000/=
Mbolea mifuko mitatu 210,000/=
Mtu wa kuweka mbolea mara mbili 10,000/=
madawa kuua wadudu na magonjwa 50,000/=
mpiga dawa wiki kumi 50,000/=
kung'oa 50,000/=
kukata vitunguu gunia mia 200,000/=
usafiri 100,000/=
chanja kukodi 100,0000
umwagiliaji petrol 2500 x lita 5 x wiki 10 = 125,000/=
mtu wa kumwagilia 5000 x wiki 10 = 50,000
JUMLA KUU = 1,855,000/=
Kwa wastani ni mil 2
Milioni moja?
Inategemea unalimia wapi?
Inategemea umwagiliaji kwa pampu au mifereji au mvua
Uzoefu wangu huku Kilosa huu:
Mbegu lita 7 kwa ekari @ 25,000/= jumla 175,000/=
Kuandaa kitalu 20,000/=
Kusia mbegu 10,000/=
kutunza kitalu 30,000/=
kukodi shamba 100,000/=
kufyeka shamba 48,000/=
kukatua udongo 64,000/=
kulainisha udongo 48,000/=
kutengeneza majaruba 25,000/=
kupandikiza 160,000/=
dawa ya kuua magugu 40,000/=
palizi mara mbili 100,000/=
Mbolea mifuko mitatu 210,000/=
Mtu wa kuweka mbolea mara mbili 10,000/=
madawa kuua wadudu na magonjwa 50,000/=
mpiga dawa wiki kumi 50,000/=
kung'oa 50,000/=
kukata vitunguu gunia mia 200,000/=
usafiri 100,000/=
chanja kukodi 100,0000
umwagiliaji petrol 2500 x lita 5 x wiki 10 = 125,000/=
mtu wa kumwagilia 5000 x wiki 10 = 50,000
JUMLA KUU = 1,855,000/=
Kwa wastani ni mil 2
Mkuu kubota,je hii petrol unamwagilia vipi?na je muda muafaka kulima kwa kilo na ni miezi gani na vinachukua muda gani kukomaa??ahsante