Variety | Planting spacing (cm) | Maturity in days | Average yield/acre in kg | Ideal climate | Special attributes |
Red Passion F1 | 30 x 10/ 30 x 5 | 120 | 25,000 | Cool and wet |
|
Red Creole | 30 x 10/ 30 x 5 | 150-180 | 10,000 | Warm and hot |
|
Bombay Red | 30 x 10/30 x 5 | 120-150 | 6,000-7,000 | Warm and hot |
|
Texas Grano | 30 x 10/30 x 5 | 150 | 12,000 | Cool and warm |
|
jamaa wamekadiria 10,000kg kwa ekari na si hekta. utaona kwa gunia za 100kg gunia 100 zinafika. kumbuka hiyo ni average.kiukweli waliokuwa wanatushawishi kulima niwaongo, ni vigumu kupata hizo gunia 100 wastan ni gunia 40. pia nimeamin wengi wao nahisi niwafanyakaz wa maeneo hayo kwa hiyo wanakuwa wanakupiga kwenye mbegu. mimi mwaka jana nimejaribu ila nilikuwa tofauti na wenzangu mimi nilinunua lita moja tu za mbegu. kiukweli ni mbegu nyingi sana kwa ufupi wasiozijua ni vimbegu vyenyewe ni saiz ya mbegu ya nyanya . na baada ya kuzihudumia nilifanikiwa kupanda zote na chache zilibaki, pia sikutaka kubana sana kama wengi wetu wanavyoshauri humu eti size ya kiberiti.
kuhusu dawa mara nyingi nilipulizia dawa ya kuzuia wadudu tu tena mara moja kwa wiki kopo nilikuwa nanunua buku tano mpaka navuna nilitumia kopo kumi ambayo total ilikuwa 50000.
mbolea kwetu huku zipo za kununua mchanganyiko ila mimi nilinunua mfuko mmoja mmoja kwa kila mbolea na bei zake kwa mbeya ni
urea 48000
can48000
npk nilikuwa nanunua ya unga inauzwa 5000 na kila baada ya siku 14
sa 45000
uchumi haukuwa mzuri sikununua dap
kuandaa kitalu mpaka kupandikiza jumla ya matumizi ilikuwa35000 na mimk mwenyewe nilikuwa nashiriki.
nilivuna jumla gunia25 kwa eka moja.
NILICHOJIFUNZA
watu wanadanywa kuhusiana mbegu hivo wanajikuta wananunua mbegu nyingi na kumwaga shamban. hata wakati wakupandikiza vitunguu vinabanwa sana hivyo mbegu nyingi inakufa au mkulima anajikuta anapata vitunguu vidogovidogo vingi sana badala ya vile vya wastan. pia mbolea inatakiwa iwekwe kila baada ya siku ishirini na moja na ingependeza upandikize kwa mstari hata wakat wa kumwaga mbolea ufuatishe mstari badala ya kumwaga ovy sabab ukimwaga onyo wakati wakumwagilia mbolea inaweza sombwa na kujikuta ni sehem moja ndo imenawili tena kwa muono wangu ni vyema kupitisha mstari wa kishimo pembeni ya mstari wa vitunguu na uksha mwaga ufukie.
kwa ushauri wangu ni vyema kama ndo unaanza ushiriki mwenye kwa usaidiz wa wafanyakazi kuna uongo mwingi sana unaenezwa ambao ndo unawaliza wengi humu. mtu anakwambia unahukika wa kuvuna gunia 100. wadau gunia linalozungumzwa hapa sio kilo mia ni debe nane ambalo si chini ya kg 130 sasa hata ukiingia kenyanseed.com hizo mbegu za red bombay na redcreole wamekadilia kg 10000 per hectare ambazo ni acre 2.5 pia kitunguu kwa jinsi nilivoona ukijitoa mwenyewe kwa usimamizi mzuri hupaswi kufikisha gharama ya milion. pia tusikariri maeneo mfano lumuma wenyeji washakuwa matapeli wanapokuona mgeni wenyewe wanachofikiria ni kukukamua tu. pamoja na kuwa bei haikuwa nzuri lakini nashukuru gharama yangu ilirudi na faida pia. twenden shamban lakini kabla ya yote tutafute information bila kukurupuka. love you all. sikuwahi kulima ila mwaka huu mungu bariki ntalima kila kitu mpaka nyanya
0752 922 534..naomba namba yako unipe uashauri zaidi..vyangu vipo kwenye vitalu sijavitoa..#TAFADHALI_NAOMBA_NAMBA_ZAKO_BRONimekuwa interested na maelezo yako bepari..kidding!!naomba namba yako tuongee
0752 922 534..naomba namba yako unipe uashauri zaidi..vyangu vipo kwenye vitalu sijavitoa..#TAFADHALI_NAOMBA_NAMBA_ZAKO_BRONimekuwa interested na maelezo yako bepari..kidding!!naomba namba yako tuongee
we si ndo ulisema ni mtaalam au?
kiukweli waliokuwa wanatushawishi kulima niwaongo, ni vigumu kupata hizo gunia 100 wastan ni gunia 40. pia nimeamin wengi wao nahisi niwafanyakaz wa maeneo hayo kwa hiyo wanakuwa wanakupiga kwenye mbegu. mimi mwaka jana nimejaribu ila nilikuwa tofauti na wenzangu mimi nilinunua lita moja tu za mbegu. kiukweli ni mbegu nyingi sana kwa ufupi wasiozijua ni vimbegu vyenyewe ni saiz ya mbegu ya nyanya . na baada ya kuzihudumia nilifanikiwa kupanda zote na chache zilibaki, pia sikutaka kubana sana kama wengi wetu wanavyoshauri humu eti size ya kiberiti.
kuhusu dawa mara nyingi nilipulizia dawa ya kuzuia wadudu tu tena mara moja kwa wiki kopo nilikuwa nanunua buku tano mpaka navuna nilitumia kopo kumi ambayo total ilikuwa 50000.
mbolea kwetu huku zipo za kununua mchanganyiko ila mimi nilinunua mfuko mmoja mmoja kwa kila mbolea na bei zake kwa mbeya ni
urea 48000
can48000
npk nilikuwa nanunua ya unga inauzwa 5000 na kila baada ya siku 14
sa 45000
uchumi haukuwa mzuri sikununua dap
kuandaa kitalu mpaka kupandikiza jumla ya matumizi ilikuwa35000 na mimk mwenyewe nilikuwa nashiriki.
nilivuna jumla gunia25 kwa eka moja.
NILICHOJIFUNZA
watu wanadanywa kuhusiana mbegu hivo wanajikuta wananunua mbegu nyingi na kumwaga shamban. hata wakati wakupandikiza vitunguu vinabanwa sana hivyo mbegu nyingi inakufa au mkulima anajikuta anapata vitunguu vidogovidogo vingi sana badala ya vile vya wastan. pia mbolea inatakiwa iwekwe kila baada ya siku ishirini na moja na ingependeza upandikize kwa mstari hata wakat wa kumwaga mbolea ufuatishe mstari badala ya kumwaga ovy sabab ukimwaga onyo wakati wakumwagilia mbolea inaweza sombwa na kujikuta ni sehem moja ndo imenawili tena kwa muono wangu ni vyema kupitisha mstari wa kishimo pembeni ya mstari wa vitunguu na uksha mwaga ufukie.
kwa ushauri wangu ni vyema kama ndo unaanza ushiriki mwenye kwa usaidiz wa wafanyakazi kuna uongo mwingi sana unaenezwa ambao ndo unawaliza wengi humu. mtu anakwambia unahukika wa kuvuna gunia 100. wadau gunia linalozungumzwa hapa sio kilo mia ni debe nane ambalo si chini ya kg 130 sasa hata ukiingia kenyanseed.com hizo mbegu za red bombay na redcreole wamekadilia kg 10000 per hectare ambazo ni acre 2.5 pia kitunguu kwa jinsi nilivoona ukijitoa mwenyewe kwa usimamizi mzuri hupaswi kufikisha gharama ya milion. pia tusikariri maeneo mfano lumuma wenyeji washakuwa matapeli wanapokuona mgeni wenyewe wanachofikiria ni kukukamua tu. pamoja na kuwa bei haikuwa nzuri lakini nashukuru gharama yangu ilirudi na faida pia. twenden shamban lakini kabla ya yote tutafute information bila kukurupuka. love you all. sikuwahi kulima ila mwaka huu mungu bariki ntalima kila kitu mpaka nyanya
Mkuu mwenye mtaji wa mil 1,5 anitafute mm nimfanyakazi serikalini na nipo kwa wakulima zaidi twaweza fanya kitu ni pm, nb nipo mashambani
Mkuu niko DSM nazipata wapi pump za kusukwaUngekua uko dar ingekua rahisi kwangu kukuelekeza, ila hakuna shida nenda hata SIDO hapo mbeya watakusaidia. Unawaambia unataka pump ya inch nne na inayotumia diesel. Manake kama wananchi wanaweza isuka basi kwa sido sio tatizo kabisa.