Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
kaka humu JF hakuna wakulima - na mimi nahangaika na swali langu la kilimo cha alzeti bado sina responce. humu watu ni wafanyakazi zaidi - lol
Hahahahaha
kaka humu JF hakuna wakulima - na mimi nahangaika na swali langu la kilimo cha alzeti bado sina responce. humu watu ni wafanyakazi zaidi - lol
hiyo ni gharama ya kila kitu ikiwa ni pamoja na pump na mafuta utaweza hudumia heka moja na vitunguu hukaa shambani miezi mitatu tuu unatoa almasi yako swafiii na mteja uakuwa hapo shambani.
mimi nimejaribu mbeya kusema kweli hapa makadirio ya gharama inategemeana na eneo ila mimi mpaka jana nimemaliza kupandikiza gharama niliyoitumia imekuwa ndogo sana tofauti nilivyotarajia almost nusu ya makadirio ya hapa. mungu akijalia kama mazao yakikubali mwakan najiingiza ini full walau kwa heka 50. nawashukuru sana hasa Malila for contribution.
Hivi ndo vitu tunavyovihitaji humu
View attachment 171391View attachment 171392
Mi ndo navuna jamani!!
Sent from my iPhone using JamiiForums app
ulikuwa unamwagilia kwa drip mkuu?
Mkuu unavunia wapi? Vyangu vipo tayari hapa ruaha mbuyuni lakini soko ni majanga!
Ni kweli nimetumia drip ila mvua nayo inilipiga tafu sana
Sent from my iPhone using JamiiForums app