Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Tafadhali naomba mawasiliano kwa mwenye uzoefu wa kulima matikiti maji nami nahitaji kulima..taarifa na ujuzi tafadhali
 
Wakulima tuungane, tuelimishane, tutafute masoko pamoja. Whatsapp group 0717269137
 
Mimi nalima aina ya Sugar baby inachukua siku 60 tu kuvuna tangu plus siku 3-5 za kukaa ardhini, kwa hiyo kwa mwaka nalima mara 4 tu nina ekari 5 na kila eka napata kuanzia 2M-3M.

Spacing ni 2mx2m na kila shimo naweka mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2-3 kwa maana kila shimo napata matunda 4-6 ( wastani matunda 5).

Hivyo kwa spacing hiyo napata mashimo 1000-1200

Idadi ya matunda: Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari [1,000 x 5 x 5 = 25,000]

Mapato: wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 [25,000 x 500 = 12,500,000]

Mapato kwa mwaka: 12,500,000 x 4= 50,000,000

Gharama za uendeshaji wa shamba ni Tsh 25,000,000

Faida Kuu ni Tshs 25,000,000 M.

Tujenge taifa letu kwa kilimo

Mkuu tikiti ni zao la kuvunwa miezi mitatu sawa na siku 90 sio sio siku 60, tango kabegi ndio siku60
 
NASHAURI TU JAMANI,

Badala ya kulima heka tano jaribu kulima heka moja tu ila fanya yafuatayo.
Badala ya kuruka mita mbili otesha mtikiti kila baada ya nusu mita.
kwa heka moja utapata mashimo 19,800.
mtikiti ukitoa tunda moja tu ukate kwa mbele ili usiendelee kuzaa.
kwa hiyo tunda moja kwa mche mmoja utanenepa vizuri badala ya kuuza 500= uauza 2,000.
Tufanye ukaua 1,000= utapata 19,800,000 badala ya 2m.

naomba contact au add me whatsapp number yangu ni 0752 644221 nahitaji msaada Wa kilimo hiki cha matikiti
 
Mimi ninalima matikiti na kesho tarehe 10 ndio ntaanza kupanda shamba la ekari 3.5 ,hivyo natarajia kuvuna mwezi wa 8 mwanzoni kama kila kitu kitaenda sawa,kupeana mawazo na ushauri katika kilimo hichi naombeni mniadd ktk group lenu la watsapp 0654947055,tushauriane kuhusu kilimo na masoko yake
 
Pls ni add Kwa no 0755165001 kwenye kilimo cha matikiti whatsapp
 
Habar. Me naitwa Azizi horticulturist naomba kujiunga na group ya watsap katka kilimo cha tikiti no zang Ni 0714422018 asanten Sana ktk kilimo biashara
 
Wakuu habarini...
Hope wote ni wazima. Mimi nipo Songea. Je ninaweza nikalima matikitimaji na yakakubali vizuri?

Kama sio, naomba ushauri (kutokana na hali ya hewa ya huku)ni matunda gani naweza nikalima.
Ahsanteni.

NB;Kilimo nitafanya kwa nguvu zangu mwenyewe japo nianze na hekari moja.
 
Nimefuatilia kwa ukaribu thread hii ya kilimo cha matikiti maji,kwa kweli nimefurahishwa sana na uchangiaji wa mada.hii ukiifuatilia inaweza kabisa kukuhamisha kutoka kweny hali uliyonayo ya kifikra na hatimaye ya kiuchumi ukifanya kwa vitendo.

Japokuwa awali kabisa nilikuwa na wazo hili lakini sikuwa najua mengi kama ambavyo najua sasa baada ya kupita humu. Nawapa pongezi sana wadau humu ndani kwa mapenzi ya dhati mliyonayo ya kuthubutu kukwamuana kimawazo,fikra na kiuchumi.

MUNGU awazidishe sana ktk kuwabariki.
 
Mimi nalima aina ya Sugar baby inachukua siku 60 tu kuvuna tangu plus siku 3-5 za kukaa ardhini, kwa hiyo kwa mwaka nalima mara 4 tu nina ekari 5 na kila eka napata kuanzia 2M-3M.

Spacing ni 2mx2m na kila shimo naweka mbegu 2 ambazo zinazaa matunda 2-3 kwa maana kila shimo napata matunda 4-6 ( wastani matunda 5).

Hivyo kwa spacing hiyo napata mashimo 1000-1200

Idadi ya matunda: Mashimo x Matunda kwa shimo x ekari [1,000 x 5 x 5 = 25,000]

Mapato: wastani wa shilingi 500 kwa tikiti x idadi ya matikiti kwa eneo la ekari 5 [25,000 x 500 = 12,500,000]

Mapato kwa mwaka: 12,500,000 x 4= 50,000,000

Gharama za uendeshaji wa shamba ni Tsh 25,000,000

Faida Kuu ni Tshs 25,000,000 M.

Tujenge taifa letu kwa kilimo

Umepotelea wapi mkuu? bado unaendelea na kulima?
 
Drip lines zinauzwa kwa roller hapo unacalculate urefu wa jumla wa linezote pia utakata mwenyewe kulingana na shamba lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom