Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
matikiti yana tabia ya kupasuka wakati wa maska. Kama utalma yapandshie kwe bed lefu na uliweke matandazo. Nakushaur tumia mbegu ya sentinel f1 n nzur kubwa na soko lake la uhakika.
Mkuu hapo bado sijakupata, una maanisha nini?