made
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 890
- 581
Karibu miezi miwili iliyopita watu waliitwa kufanya interview pale NHIF,lakini kilichotokea hawakuwaita wale watu wote waliofanya interview ile,badala yake waliamua kuwaita wale watu waliowahi kufanya tempo pale miaka ya nyuma.
Kilichonishangaza ni kwanini waliamua kutangaza nafasi za ajira then kuwaita watu katika usaili ili hali walikuwa na mpango wa kuwaita hao wa zamani,hawakuelewa kwamba kuna watu walitoka mbali(mikoani)kuja kufanya usaili?
Kiukweli inakatisha tamaa kabisa.
Ni hayo tu.
Kilichonishangaza ni kwanini waliamua kutangaza nafasi za ajira then kuwaita watu katika usaili ili hali walikuwa na mpango wa kuwaita hao wa zamani,hawakuelewa kwamba kuna watu walitoka mbali(mikoani)kuja kufanya usaili?
Kiukweli inakatisha tamaa kabisa.
Ni hayo tu.