Kuna siku niliamua kusoma maandishi ya chupa mzima. Ila sikufanikiwa kukumbuka hata neno moja. Sijajua br wewe huwa unayesoma ukiwa unafanya nini maana si rahisi kukumbuka maandishi ya kwenye chupa ya bia labda uwe baa bedi au mfanya usafi. Narudia tena ni NGUMU kuyakumbuka yale maandishi.. Kwanza hilo neno KONYAGI mda mwingine nalisahaaugu mpaka mhudumu anaponikumbusha kuwa nimekunywa KONYAGI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.