Tatizo wewe siyo mnywaji. Mi nakunywa hii kitu na wala sijawahi kuona hayo maandishi. Kwanza wewe unayasoma ili yakusaidie nn? Unataka kunywa au unatafuta maana na tofauti ya maandishi?Hawa konyagi hizi alcohol % zao nashindwa kuzielewa au kuna feki hapa.
Unakuta wameandika hivi
alcohol 35% vol. ,nyingine wameandika
35%ABV
sasa hapa ndo nashindwa kuelewa.
Tatizo wewe siyo mnywaji. Mi nakunywa hii kitu na wala sijawahi kuona hayo maandishi. Kwanza wewe unayasoma ili yakusaidie nn? Unataka kunywa au unatafuta maana na tofauti ya maandishi?
Mbona coca wana chupa zenye ile lebel nyekundu na nyingine hazina ila watu wanakunywa tu kiroho safi.
Umechoshwa asubui asubui eeh ?Hhahaahaa..jaman nimechekaa..na uchov wote umekwisha..dah
Lkn umesema uchovu wote umekwisha. Nikajua umeshachoshwa mkuu asubuhi tuSina ht wa kunichosha..yko mbali...
Lkn umesema uchovu wote umekwisha. Nikajua umeshachoshwa mkuu asubuhi tu
Hakuna...sijachoshwa..nilimanisha uchovu wa shughul za jana