Yaweza kuwa binadamu akifa huzaliwa na kuwa kiumbe kingine

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,331
4,856
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili
Pombe za mwisho wa wiki hizi

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
mimi nizaliwe komodo dragon au simba jike
1703417071085.png
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Mkuu hivi mnaposema Kuwa Kidini Binadamu aliumbwa na ni Adam na Eve..

me nafikiri Mngekuwa Specific kuwa Kwa dini tatu au kwa "ibrahimic Religion"

Maana kwa Dini zingine hakuna Hicho kitu cha kwamba kuna Bindamu walikuwa anaitwa Adamu aliumbwa
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Sio wewe unayesema kuwa binadamu akifariki anageuka kuwa mnyama mwingine, bali hiyo nadharia hipo toka kitambo kwenye dini kama Taoism, Budhism, Hinduism na dini nyingine zenye kuamini katika Karma na Dharma...
 
Mimi nakataaaa...

Basi kama n hvyo, wanyama wangekuwa na utashi kwa kiasi flan na wangekuwa na effect ya mazingira kulingana na vile walivyoishi walipokuwa binadamu
Mfano, fisi ambaye enzi za uhai wake alikuwaga ni mangi muuza duka pale moshi mjini, angezaliwa porini na angetumia mda wake mwingi maeneo ya town kuliko kuzaliwa porini na kuganda huko huko.
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Ibada iliwekwa kwa majini na binadamu kwa sababu wanautashi
 
Hyo n theory ya Dini nying ambazo sio Abrahamic religions....japo mm pia nmeamua kuamn theory hyo Kuliko Hz theory za jehanam
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Hata Mimi naamini hivyo,utazaliwa kiumbe gani itategemea na matendo Yako na kudra za Muumba
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Dini ni mfumo wa maisha ya kila siku wa mwanadamu, pia unatakiwa ujue kuwa kuna dini za watuu na dini ya haki (Uislamu).dini za watu ni dini ambazo kanuni na miongozo yake imetengenezwa na watu lakin dini ya haki miongozo yake imetengenezwa na Mwenyezi mungu ambapo chanzo cha miongozo hii ni Qur'an na Sunnah za Mtume Muhammad (s.a.w).
Shida inakuja kwenye dini za watuu kunakuwa hakuna usawa yaani miongozo yake inakuwa inapendelea upande mmoja na kwa kuwa miongozo hiyoo haijaundwa na Mwenyezi mungu unakuta miongozo hiyoo haiendani na uhalisia wa binadamu kwa mfano utawa unamzuia mwanaadamu kufanya baadhi ya vitu ambavyo kimaumbile anatakiwa avifanye mfano kuoa
 
Haiwezekani mpaka sasa binadamu asikijue chanzo chake, na asijue akifa anakwenda wapi? Na kwenye swali hili majibu yamekuwa mengi yenye mashaka na sio majibu halisi, basi kwa kuliona hilo nikaamua na mimi nikae niwaze kama ninavyowaza, sayansi inadai binadamu katokana na nyani, sawa vitabu vya kidini vinasema chanzo cha binadamu ni adamu na hawa, sawa na mimi nasema hivi binadamu akifa anageuka na kuwa kiumbe kingine iwe anakuwa fisi, chura, simba, nk kwahiyo leo ukifa wala usijutie jua unaenda kugeuka nguruwe au panya nina mengi ya kudhibitisha hilo ila naanda uthibitisho nitakuja hapa naimani wengi mtafunguka akili, kuna wale wenzangu na mimi wafia dini yupo tayari aue kisa dini, vuta picha mara paah umeenda kuwa nguruwe vipi Utajisikiaje? Mim naamin hizi dini ni utaratibu tu ambao binadamu kajiwekea kama wanyama porini walivyojiwekea utaratibu wao hivi unataka niambia, mbuzi ana mjua mungu vipi simba na tembo nao wanamjua mungu mbona hawaendi kusali? Unashangaa nini si viumbe wa mungu au?
Ukifa ndo basi siku ya kufufuliwa utafufuliwa na utahukimiwa kutokana na uliyoyatenda
 
Back
Top Bottom