Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,694
- 40,960
Juzi jumamosi, nimetoka kufanya harusi ya ndugu yangu mpendwa, nilikuwa mmoja wa wanakamati, na wedding hiyo japo ilikuwa ya kawaida tu hesabu zake kwa haraka zilikuwa 25m hivi.
Kila nikiwaza hiii bajeti ya harusi na nyingine zilizopita, naona ts wastage of money kwakweli na nachelea kuoa maana kila nikimchimba kichenchede changu utasikia mimi, n my wedding nataka hiki na kile na kile...kichwa kinaniuma..Nikiwaza kuhusu ndugu..lazima watanilaumu nikioa bila kufanya sherehe kubwa..jamani kwani kufanya sherehe kubwa ya ndoa ni lazima?? Kwanini tusiwekeze katika miradi fedha kama hizi na kupunga anasa?? My thought..
Kila nikiwaza hiii bajeti ya harusi na nyingine zilizopita, naona ts wastage of money kwakweli na nachelea kuoa maana kila nikimchimba kichenchede changu utasikia mimi, n my wedding nataka hiki na kile na kile...kichwa kinaniuma..Nikiwaza kuhusu ndugu..lazima watanilaumu nikioa bila kufanya sherehe kubwa..jamani kwani kufanya sherehe kubwa ya ndoa ni lazima?? Kwanini tusiwekeze katika miradi fedha kama hizi na kupunga anasa?? My thought..