Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Kila kukicha, na hata vitu vidogo ambavyo kiongozi mkuu wa kitaifa anaweza kutatua
kwa haraka, na matatizo yapo wazi, wala hayahitaji kuwa Genius kutatua, mengine
kauli tu ya Rais inatosha, ila due to lack of commitments, wasting of time, kuwa
irresponsible kwa wananchi, na usanii kibao haya ndio maneno ya kiongozi
1. Nitaunda TUME, TUME, what..!!!? hata mapendekezo ya tume basi hafuati, hata
suala la UDOM unaundia tume, just kuzuga na kupoteza time, aaaaarrrrggggggg
2. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI...what the hell is this...!!!!?? you as a leader
then unaongea to public unasema personal opinion, peleka hizo personal opinion
kwa mkeo na vimada wenu, huu ni kukosa uwajibikaji na kugeuza ulichosema,
meaning unasema kitu halafu unageuka kama kinyonga
3. Taarifa hiyo SIKUPATA OFFICIALLY, huu ni upuuzi mwingine, unakuta kuna
jambo tena linaumiza wananchi kiongozi anasema hajapata taarifa RASMI, tena
tena tatizo limedumu for almost a week, yy anangojea taarifa mezani, yaani
kwa haraka, na matatizo yapo wazi, wala hayahitaji kuwa Genius kutatua, mengine
kauli tu ya Rais inatosha, ila due to lack of commitments, wasting of time, kuwa
irresponsible kwa wananchi, na usanii kibao haya ndio maneno ya kiongozi
1. Nitaunda TUME, TUME, what..!!!? hata mapendekezo ya tume basi hafuati, hata
suala la UDOM unaundia tume, just kuzuga na kupoteza time, aaaaarrrrggggggg
2. HAYA NI MAONI YANGU BINAFSI...what the hell is this...!!!!?? you as a leader
then unaongea to public unasema personal opinion, peleka hizo personal opinion
kwa mkeo na vimada wenu, huu ni kukosa uwajibikaji na kugeuza ulichosema,
meaning unasema kitu halafu unageuka kama kinyonga
3. Taarifa hiyo SIKUPATA OFFICIALLY, huu ni upuuzi mwingine, unakuta kuna
jambo tena linaumiza wananchi kiongozi anasema hajapata taarifa RASMI, tena
tena tatizo limedumu for almost a week, yy anangojea taarifa mezani, yaani