The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Get rid of JK from the top office in 2010! He does not deserve other 5 years.
acha kuongea kishabiki na kwa dharau
kikwete hafai sawa,lakini huwezi sema hafai hata kuwa naibu waziri????nani anaefaaa???????
Every nation get the leaders it deserves,kiwete hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kwa nchi zilizoendelea,lakini kwa tanzania anafaa sana tu,tatizo nyinyi mawazo yenu yanazunguka kwenye circle za watu wenye elimu ya chuo kikuu tu peke yake,wakati wapiga kura ni 95 percent ni mambumbu.and he is their president,maybe he is not ur president but wewe
unawakilisha percent ndogo sana ya watanzania.wanajf peke yake wako elfu nane katika wapiga kura milioni 40,kuielewa tanzania na watanzania tokeni maofisini muende m,ikoani vijijini,
acha kuongea kishabiki na kwa dharau
kikwete hafai sawa,lakini huwezi sema hafai hata kuwa naibu waziri????nani anaefaaa???????
Every nation get the leaders it deserves,kiwete hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kwa nchi zilizoendelea,lakini kwa tanzania anafaa sana tu,tatizo nyinyi mawazo yenu yanazunguka kwenye circle za watu wenye elimu ya chuo kikuu tu peke yake,wakati wapiga kura ni 95 percent ni mambumbu.and he is their president,maybe he is not ur president but wewe
unawakilisha percent ndogo sana ya watanzania.wanajf peke yake wako elfu nane katika wapiga kura milioni 40,kuielewa tanzania na watanzania tokeni maofisini muende m,ikoani vijijini,
- It is a high time sasa, tuka-discuss who is an-alternative in the spirit of looking at the big picture yaani our nation, can we?
Respect.
FMEs!
Obama alisema (I don't remember the exact words) but something like this: "Africa does not need strong leaders, it needs strong institutions". What about that?
Obama alisema (I don't remember the exact words) but something like this: "Africa does not need strong leaders, it needs strong institutions". What about that?
Boss said:he founded tra.
Hah! hah! Boss mbona unajidhalilisha kiasi hiki? Yaani unafurahia kuongozwa na mtu ambaye hafai hata kuwa kiongozi wa nyumba 10 katika nchi zilizoendelea!!
Tafadhali waombe watanzania msamaha kwa kuwaambia kuwa ni mbumbumbu na kwaajili hiyo wanafaa kuongozwa na kiongozi mbumbumbu.
kwa hiyo sisi ni taifa la werevu???????ambalo hata rostam aziz anafanya analotaka???????
Kwa maoni yangu binafsi sehemu kubwa ya kushindwa kwa Kikwete kunatokana na expectations za watu walizokuwa nazo juu yake.
Obama alisema (I don't remember the exact words) but something like this: "Africa does not need strong leaders, it needs strong institutions". What about that?
He assumed the office of the presidency with fanfare and with an overwhelming mandate he ascended to power. He was called to lead. He has miserably failed and now he has become a good follower. Discuss.
True,
I knew this guy was a playboy, and I believed that a serious person like Dr Salim would easily crush him; but I was wrong. Tanzania seems to be a country of playboys and playgirls, and we ended up choosing a playboy who speaks our tone. So?
Tuliyataka wenyewe. Kuna wimbo uliimbwa na mlimani park mwanzoni mwa miaka ya themanini huu hapa:
http://www.youtube.com/watch?v=UsfXcyuquhA
Kuanzia Kikwete aingie madarakani, mfumo wa kisiasa ndani ya CCM umekuwa wa kutisha sana kiasi kuwa sioni njia njema mbele yetu. Akitoka Kikwete, naona kama vile tutapata watu kama Lowassa.Rostam, Nchimbi, Makamba au Mahanga au Guninita, and the list goes on. Watu hawa wasingewamo kwenye list ya Salim. Ni kweli kuwa Dr. Salim kama binadamu mwingine yeyote ana udhaifu wake, lakini asingekuwa na udhaifu mkubwa kama huu wa Kikwete.
Nafikiri wakati umefika wa kuanza kuonesha kuwa ni kwanini CCM is irrelevant linapokuja suala la mabadiliko.
True,
I knew this guy was a playboy, and I believed that a serious person like Dr Salim would easily crush him; but I was wrong. Tanzania seems to be a country of playboys and playgirls, and we ended up choosing a playboy who speaks our tone. So?
Tuliyataka wenyewe. Kuna wimbo uliimbwa na mlimani park mwanzoni mwa miaka ya themanini huu hapa:
http://www.youtube.com/watch?v=UsfXcyuquhA