Kikwete: Unprepared to lead

Kuanzia Kikwete aingie madarakani, mfumo wa kisiasa ndani ya CCM umekuwa wa kutisha sana kiasi kuwa sioni njia njema mbele yetu. Akitoka Kikwete, naona kama vile tutapata watu kama Lowassa.Rostam, Nchimbi, Makamba au Mahanga au Guninita, and the list goes on. Watu hawa wasingewamo kwenye list ya Salim. Ni kweli kuwa Dr. Salim kama binadamu mwingine yeyote ana udhaifu wake, lakini asingekuwa na udhaifu mkubwa kama huu wa Kikwete.

Hiyo list mkuu hamna kitu kabisa. Bogus to infinity!
 
Mtu yeyote atoe ushahidi hapa kama Kikwete aliwahi kusema kwa nini aliamua kugombea urais wa TZ. Alijibuje?
 
Kwa maoni yangu binafsi sehemu kubwa ya kushindwa kwa Kikwete kunatokana na expectations za watu walizokuwa nazo juu yake.

SIKUBALIANI NA MAONI YAKO;


Kikwete hakushindwa kwa sababu ya expectations za watu ila ni kuwa hakufanya lolote la aliyotakiwa kufanya.
  1. Alipoingia Ikulu kulikuwa na shida ya umeme, je sasa hivi umeme ukoje?
  2. Alipoingia Ikulu Dar ililkuwa maji hayatoki, je ni vipi hivi sasa?
  3. Alipoingia nyumba za serikali zilikuwa zimegawanywa kwa wapendwa, je hili limeishia wapi?
  4. Alipoingia Ikulu utamu wa madini kwa waTZ ulikuwa wanausikia tu ukiongelewa, je sasa hivi ni vipi?
  5. Alipoingia Ikulu mafisadi walitajwa hadharani ili awashughulikie, je akina Chenge, Lowassa, RA n.k. wameshashughulikiwa? n.k., n.k.
Ukweli ni kuwa JK kazi imemshinda, kama vile Dr. Idrisa ilivyomshinda TANESCO, na ni vema kwa wanaCCM wote wanaoipenda nchi wasikubali JK akaendelea na ajira wakati kazi ameonyesha wazi kuwa haiwezi.
 
Nafikiri wakati umefika wa kuanza kuonesha kuwa ni kwanini CCM is irrelevant linapokuja suala la mabadiliko.

If CCM decides to feature Kikwete in 2010, it will not only be an insult to most of its supporters, but will definitely make it irrelevant as a party intending to bring maendeleo to TZ.
 
He is not qualified even for a deputy minister's position.........

Mkuu...naona umegonga nyoka kichwani kabisaaa

Huyu mkulu nadhani hakuimagine kama kazi ya ukuu wa nchi inaweza kuwa tough kivile. Cha kusikitisha zaidi ni wale waliomchagua bila hata kupima uwezo wake na ufanisi wa kazi alizofanya huko nyuma

Kosa la kwanza limefanyika tayari. Hivi kweli tunaweza kurudia kumchagua tena?
 
True,

I knew this guy was a playboy, and I believed that a serious person like Dr Salim would easily crush him; but I was wrong. Tanzania seems to be a country of playboys and playgirls, and we ended up choosing a playboy who speaks our tone. So?


Tuliyataka wenyewe. Kuna wimbo uliimbwa na mlimani park mwanzoni mwa miaka ya themanini huu hapa:

http://www.youtube.com/watch?v=UsfXcyuquhA


Kuanzia Kikwete aingie madarakani, mfumo wa kisiasa ndani ya CCM umekuwa wa kutisha sana kiasi kuwa sioni njia njema mbele yetu. Akitoka Kikwete, naona kama vile tutapata watu kama Lowassa.Rostam, Nchimbi, Makamba au Mahanga au Guninita, and the list goes on. Watu hawa wasingewamo kwenye list ya Salim. Ni kweli kuwa Dr. Salim kama binadamu mwingine yeyote ana udhaifu wake, lakini asingekuwa na udhaifu mkubwa kama huu wa Kikwete.

Dr. Salim Ahmed Salim is one of the best presidents Tanzania never had.
 
well the other option is Lowassa.

Lowassa is not an option anymore, his corrupt behavior is now known to all. But he could have been more creative and a hardworker than Kikwete. However, his package would have also included more ufisadi, dictatorship, firing of officials in public, kumuabudu e.t.c., e.t.c.

There are many others in CCM who are worth of concideration, but will the current mediocre CCM be able to get rid of JK and pick a serious and capable contender?? The answer is NO!!.
 
Last edited:
Dr. Salim Ahmed Salim is one of the best presidents Tanzania never had.

Tanzania never had President called Salim A. Salim, may be in our dream because we lost such a talent.

Anayway, I think Salim was more of Prez material than JK!!!!! For chosing JK over Salim it is like "kuruka mkojo halafu unakanyaga mamvi".
 
Back
Top Bottom