Kikwete: Serikali yangu inapinga Bw. Gbagbo kung'ang'ania madarakani!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......
 
Na sisi tunamwambia kuwa tunapinga yeye kung'ang'ania urais wa Tanzania ilhali raisi wa watanzania ni Dr. Slaa.
 
Unapokuwa kwa wahisani hasa ukiwa unataka kutembeza bakuli kama ombaomba Matonya ni lazima useme lolote lile hata kama huamini katika hilo,hivyo alivyofanya mkulu ni sawa tu kwake hata kama moyoni haamini alichokisema.

Bila kujipendekeza kwa wahisani ataomba vipi wakati wao wamekwishasema hawamtambui Gbagbo?
 
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......

Usiukalie huo ushahidi, ebu tupe na sie tujiridhishe!!
 
Swali hilo kamuulize Othman wa TISS na Makame wa NEC, wao ndiyo wana data za ukweli kabla ya uchakachuaji uliomtangaza JK kuwa Rais.

So you dont have the facts my dear?? kama unaamini wale ndio watangazaji wa matokeo kwa nini usiamini kuwa walikuwa sahihi? chadema walihesabu kura na matokea halali yalikuwa tofauti kama ya asilimia 1 tu! JK akiwa mshindi!

Guys leteni hoja basi humu za kuunda katiba.............. jamani crying kuwa Kikwete alishinda kwa uchakachuaji huku yuko madarakani !!! inasaidia nini??
 
I don't belive Jk said like that. na mimi napinga kuwepo kwake madarakani. Jk was not our choice we Tanzanian. That is why he is facing resistances from every coner of this state. he was a choice from the poorest people of Tanzania and those who benefits from his poor leadership.
 
Na yeye akae akijua kuwa tunapinga uchakachuaji wa kura aliofanya

Anafahamu fika kuwa tunapinga uchakachuaji wake akishirikiana na wachakachuaji wenzie akina shimbo, kiravu na lewis makame.
Nadhani na yeye ajipime kubaki madarakani.
 
Legally Kikwete is the President of this country, but legitimately he is not!! Hana legitimacy ndio maana wananchi walio wengi wanambeza.
 
So you dont have the facts my dear?? kama unaamini wale ndio watangazaji wa matokeo kwa nini usiamini kuwa walikuwa sahihi? chadema walihesabu kura na matokea halali yalikuwa tofauti kama ya asilimia 1 tu! JK akiwa mshindi!

Guys leteni hoja basi humu za kuunda katiba.............. jamani crying kuwa Kikwete alishinda kwa uchakachuaji huku yuko madarakani !!! inasaidia nini??

umeelewa title ya thread? Au unataka tujadili ya kwako ya katiba? Sijui udikteta utaisha lini michwani mwa watu!
 
So you dont have the facts my dear?? kama unaamini wale ndio watangazaji wa matokeo kwa nini usiamini kuwa walikuwa sahihi? chadema walihesabu kura na matokea halali yalikuwa tofauti kama ya asilimia 1 tu! JK akiwa mshindi!

Kwani Gbagbo alishinda au alishindwa kwa asilimia ngapi?
 
Mgao wa umeme unaisha lini..? matatizo lukuki anazungumzia ya Gbagbo..
 
Legally Kikwete is the President of this country, but legitimately he is not!! Hana legitimacy ndio maana wananchi walio wengi wanambeza.

Wananchi walio wengi? ni vigumu sana kujustify hilo!!
 
Back
Top Bottom