Kikwete: Serikali yangu inapinga Bw. Gbagbo kung'ang'ania madarakani!

Let's we come to a conclusion that JK is ze president na tusidanganye kuwa Dr. Slaa is the president now wakati hana mamlaka hayo, nini sisi wenyewe tumeshindwa kuonyesha hisia zetu kwa vitendo na kubaki kulalamika tuu amabkao haisaidii chochote kwa sasa.

If we real meant kumkataa JK tungehamasiha maandano ya amani nchi nzima kuonyesha hisia zetu, tungeendesha midahalo na makongamano nchi nzima kuonyesha hisia zetu na kuwaeleza ukweli watanzania wenzetu walio lala na tungewasahuri viongozi wa CHADEMA kufanya jitihada za kuonana na viongozi wa matifa mengine duniani na kupeleka malalamiko yao wakiwa na ukweli mkononi.

Kwa kufanya hivi ndio kweli tungeonyesha nia ya dhati kuwa hatumtaki JK kwa ushindi wa dhuluma alioupata na hapo CCM wangejifunza how serious people are na tulivyoamka kudai haki na maslahi yetu.
 
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
je yeye yupo madarakani kihalali?
 
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......

Na mimi serikali yangu ya Tanganyika inapinga kikwete kuendelea kung'ang'ania madaraka wakati ushahidi upo wazi kuwa alichakachua matikeo.
 
Jk hana moral authority ya kumsema kivyovyote mr ghabo manake tofauti yao ni approach iliyotumika -kimisingi jk anatakiwa amshukuru dr slaa aliyetumia busara kuepusha kilichotokea ivory coast. Shame on nec ya kiravu
 
So you dont have the facts my dear?? kama unaamini wale ndio watangazaji wa matokeo kwa nini usiamini kuwa walikuwa sahihi? chadema walihesabu kura na matokea halali yalikuwa tofauti kama ya asilimia 1 tu! JK akiwa mshindi!

Guys leteni hoja basi humu za kuunda katiba.............. jamani crying kuwa Kikwete alishinda kwa uchakachuaji huku yuko madarakani !!! inasaidia nini??


Kama unayoyasema ni kweli, mbona NEC hawakututangazia huo ushindi wa 1 % wa JK kama walivyofanya ZNZ??
 
Mgao wa umeme unaisha lini..? matatizo lukuki anazungumzia ya Gbagbo..

Ni vizuri tukamkumbusha Rais wetu kuwa hatujali sana mambo ya ndani ya Cote d'ivorie, matatizo yako huku ndani. Akiwa rais anatakiwa kushughulikia mambo ya ndani kwanza, kama napata hata muda wa kufuatilia hali ya Cote d'voire wakati ana kazi nyingi na muhimu za hapa nyumbani, ina maana hayuko serious.
 
Kama kweli kampinga Gabgo atakuwa kafanya hivyo huku nafsi inamsuta. Anajua ushindi wake ulivyopingwa kila kona, uchakachuaji ulilalamikiwa kwa kiasi kikubwa. Mimi rais wangu toka moyoni ni Dr Slaa.
 
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......

nyani haoni KUNDULE japo hajataja moja kwa moja kuwa hamtambui gbagbo.
 
Kwa taarifa nilizo nazo ni kuwa Gbagbo ndiye alikuwa chaguo la wa Ivorian wengi. Kulitaka kufanyika mbinu za kupindua kwa kupitia matokeo ya kura lakini akawahi kuzidhibiti. Kinachoendelea huko sasa hivi ni mbinu za mataifa ya Magharibi yakiongozwa na Ufaransa kumpinga Gbagbo.

Kuna habari zinasema kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa Ufaransa hutegemea nchi ya Ivory Cost. Lakini Gbagbo amekuwa akiupinga mfumo huo wa kinyonyaji, hadi alifikia kukataa ubinafsishaji wa mashirika ya nchi. Alikataa kupangiwa bei ya cacao na watu wa Ulaya na akaweka mfumo wa kupanga utakaonufaisha wakulima wa Ivory Coast. Mfumo huo uliwafurahisha wakulima ambao mpaka sasa wamemuunga mkono na wameapa kumpigania hadi kieleweke. Na hicho ndio kiini cha mgogoro wake na Wafaransa.

Vilevile, alilazimika kuanzisha bank ya taifa badala ya kutegemea bank ya wafaransa kama ilivyokuwa hapo kabla.
Kwa ujumla swala la Gbagbo ni gumu, na kama ataendelea kuwa hai taratibu atazidi kuungwa mkono na watu wengi na hata kama viongozi wan chi watajitenga naye. Kila atakayefanya uchunguzi wa kweli atagundua ukweli unaomuunga mkono Gbagbo. Uongo una tabia ya kukimbia haraka na kuvuma, lakini ukweli hujikongoja, na mara ukifika uongo hujitenga.

Sasa hivi Ghana inamuunga mkono na imepinga kupeleka jeshi la ECOWAS kushinikiza kumwondoa madarakani. ...
Kikwete ametamka tu ili kuridhisha mabwana wakubwa anaojikomba kwao. Wamemshinikiza ili kusaidi kuongeza kelele dhidi ya Gbagbo...lakini tamko lake litadumu kumsuta kadiri ukweli utakavyojitokeza
 
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......[/QUOTE

Awaletee usaniiii hao hao waliompigia Kura!!!!
 
So you dont have the facts my dear?? kama unaamini wale ndio watangazaji wa matokeo kwa nini usiamini kuwa walikuwa sahihi? chadema walihesabu kura na matokea halali yalikuwa tofauti kama ya asilimia 1 tu! JK akiwa mshindi!

Guys leteni hoja basi humu za kuunda katiba.............. jamani crying kuwa Kikwete alishinda kwa uchakachuaji huku yuko madarakani !!! inasaidia nini??

Kaka sometimes fans are not ready kusikia wat they don't want to hear ndio maana watu wamekazania their conspiracy theories which are not backed by facts n figures
 
Jk amerudia tena kauli ya membe kwamba serikali yake inapinga Bw. Gbagbo kuendelea kung'ang'ania madarakani wakati ushahidi upo wazi kuwa alishindwa uchaguzi. Ama kweli nyani haoni ku......

Hii inanikumbusha viongozi wa Africa walipomsakama Prof. wa siasa za Africa-Pres. Mugabe " Aliwaambia wote waliokuwa kwenye kikao wameingia madarakani kwa njia kama zake" hivyo ni bora wakaweka unafiki pembeni! Na kweli kelele zote zilikoma.

 
Wakati anasema hayo mlikuwa mnamuangalia usoni? Yeye na gbagbo wote @€*§¿¡?!:-q
 
Jk hivi haoni aibu kubwa aliyoiacha hapa nchini yeye anaenda kupiga porojo za hela tu huko???

Wanachuo hawana ada wala posho za kujikimu
mgao wa umeme
ushuru wa mkaa
bei juu gesi ya nyumbani
dowans


hayo ni machache tu..

Halafu yeye anazungumzia ya gbagbo wakati yeye hajui kuwa alichakachua matokeo na hakuna jinsi ya kupinga kutokana na katiba mbovu????
 
Inajulikana quassara ni mtu wa IMF kwa karibu maana alifanya kazi huko miaka mingi hivyo ana backing kubwa ya west. Haishangazi jk kumuunga quassara maana ndipo kula yetu inamsuport. Hilo la uchaguzi wao ni gumu, kama gabo aliona kuna sehemu kura zilichakachuliwa ili ashinde kwa nini asingerudia (unless katiba Yao inasema vingine) akawahi kujitangaza? Eitherway, tuna matatizo yetu pia..
 
Back
Top Bottom