ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 268
eti kwenye kura za maoni ya ccm alitumia ubabe kuwaambia TAKUKURU awakamate....
Kila baada ya swali anadesa...ana daftali pale......hahahahah!!!!!!!!!!!!!!
mmmmmh,kwanini wana pangwa watu wa kuuliza maswali jama?
hivi kama hujui umeahidi nini utatekelezaje? Jamani mnaukumbuka huu wimbo wenye maneno haya"....mbona kigugumizi........" :
haya na tbc yako kategori moja ebo
huwezi kumalizia sentensi?nyambafff
Nyuso za waalikwa wake wengi zinaonesha kutukuamini wanachosikia!
Kuna channels kama sita hivi za kibongo zinaonyesha huo utumbo wa kilaza JK. Nimeweka National Geographic Wild. There is something to learn there, rather than listening to Mkwere flushing out uharo.