Ndekapawayowa
Member
- Dec 18, 2010
- 14
- 3
Sikwamba Engineer Ndikilo hakupata kuwa na madaraka katka serikali ya ******, Huyu alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, na ndiye aliyesimamia uchakachuaji wa Kura wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, uliompeleka bungeni Mteketa, kiukweli Mteketa alishindwa vibaya na Marehemu Regia Mtema.