Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,976
- 10,466
..
,..na hapo maneno rare ya busara wakati wa uchaguzi alipokuwa akilalamikia mbinu chafu za mtandawo ya SUMAYE yatatimia "ukiona mtu anatumia kalamu kuingia madarakani basi mkue kuwa akishaingia atatumia BUNDUKI kusalia madarakani....
Nadhani Mhe Sumaye alinusa hatari hii, kwa sababu ni mmoja wa majeruhi wa siasa za "Majitaka" za wanamtandao. Kwa kweli kauli hii ya busara tutaikumbuka sana sisi wapiga kura wa mwaka 2005.
For real, "What Goes Around Comes around".