Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,494
Inanishangaza jinsi "walevi" wanavyoweza kujipanga na kujiongoza hadi kumudu kushambulia msafara wa Rais wa nchi na kuharibu magari 12. Ajabu kubwa hii. Kila mhusika ajiangalie katika hili kuanzia wapiga mawe, wapigwa mawe, na wanaoita wenzao walevi, wote kabisa kuna tatizo kubwa hapa!
Huyu Mwakipesile naye ni Mbumbu mzungu wa reli... anakashfu watu na akili zao kuwa ita walevi? Mbona hao walevi wasipigane wao kwa wao na hayo mawe? Ama Mwakipesile ndiye mlevi wa madaraka...? Najua wanakijiji wamepata shida na polisi lakini meseji sent..