Elections 2010 Kikwete kweli anawajali watoto na wazee?

Msongoru

JF-Expert Member
Apr 16, 2008
306
24
Nimeshangazwa na mabango mengi yenye picha za RAIS anayemaliza muda wake, akiwa na watoto wadogo na wazee. Picha hizi huwa zinaandikwa kwamba chama kinajali watoto na wazee na rika zote, hivyo wanatoa wito kwamba tuchague chama hicho. Swali langu ni hili je ni kweli kwamba kujali watoto wa TAIFA hili ni kwa kuwaweka baadhi yao kwenye mabango? Elimu wanayopewa, matibabu wanayopewa na mazingira mazima wanayoishi ni kweli kwamba WANAJALIWA?
 
WAZEE wa jumuia ya afrika ya mashariki wanalala nje ya ofisi za reli ya kati, mvua ni yao, jua ni lao, hadi sasa ni zaidi ya miaka 3 wako pale bila msaada wowote. Hakuna taifa duniani lisilojali wazee walioitumikia serikali kwa moyo wa uzalendo na kisha kunyanyaswa kama Tanzania chini ya chama tawala ccm.
 
Mojawapo ya mabango ya kampeni za ccm, linamwonyesha JK akinong'onezwa jambo na mzee mmoja, likiwa na ujumbe

"JK ANAWAJALI SANA WAZEE"
.

Picha hizi zinaonyesha jinsi JK anavyowajali wazee.


a3.jpg


Wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika ya mashariki wakiwa nje ya lango kuu la kuingilia ikulu, wakitegemea Rais Kikwete angewajali ili awasaidie walipwe mafao yao, lakini waliondolewa kwa virungu vya polisi

wazee+wa+ea.JPG


Hapa siyo uani mwa nyumba ya mtu, la hasha, hapa ndiyo makazi ya wastaafu wa jumuia ya afrika ya mashariki nje ya ofisi za makao makuu ya shirika la reli kando kando ya barabara ya UHURU, wameishi hapo kwa zaidi ya miaka mitatu.

wazeelia.bmp


Baada ya juhudi zao za kudai haki yao kugonga mwamba mgumu wa serikali ya chama cha mapinduzi, wastaafu waliamua kufunga barabara ya H.Mwinyi eneo la daraja la selender. Waliondolewa kwa nguvu za jeshi la polisi

2.JPG


MAMA alishindwa kujizuia jinsi ZULUMA inavyozuia mafao yao. Analia kwa uchungu mkubwa akijigaragaza barabarani.

Wazee


Vikongwe wa Afrika ya mashariki wakila mkong'oto kutoka kwa askari polisi kuwaondoa barabarani


a1.jpg


29102008%28005%29.jpg


Serikali ya JK ilitumia kila aina ya zana kuhakikisha hawa wazee wanazibitiwa. Hapa ni nje ya ofisi za shirika la reli.
 
Mbona mnatisha sasa! Hivi CCM wamefikia kiasi cha kuwanyanyasa hata wastaafu!!!! Lol ! SAA YA UKOMBOZI IMEKARIBIA KWA HAWA WAZEE NI NANI AWAARIFU?
 
Au we bonge unasemaje?

jkubungo054.jpg

Yaani dogo ndio makamu mwenyekiti CCM AHAAAAAAAAAAAAAAAA na nyie vibaraka mnakubali utawala wa koo ,bado koo ya makamba katibu mkuu makamba naibu katibu mkuu January ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kuna watu wanakuja humu kutetea kwa nguvu serikali dhalimu ya Kikwete bila kuangalia adhari kama hizi za wazee wetu kudhulumiwa haki yao kwa muda mrefu.
wazeelia.bmp
2.JPG
 
Mojawapo ya mabango ya kampeni za ccm, linamwonyesha JK akinong'onezwa jambo na mzee mmoja, likiwa na ujumbe

"JK ANAWAJALI SANA WAZEE"
.

Picha hizi zinaonyesha jinsi JK anavyowajali wazee.


a3.jpg


Wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika ya mashariki wakiwa nje ya lango kuu la kuingilia ikulu, wakitegemea Rais Kikwete angewajali ili awasaidie walipwe mafao yao, lakini waliondolewa kwa virungu vya polisi

wazee+wa+ea.JPG


Hapa siyo uani mwa nyumba ya mtu, la hasha, hapa ndiyo makazi ya wastaafu wa jumuia ya afrika ya mashariki nje ya ofisi za makao makuu ya shirika la reli kando kando ya barabara ya UHURU, wameishi hapo kwa zaidi ya miaka mitatu.

wazeelia.bmp


Baada ya juhudi zao za kudai haki yao kugonga mwamba mgumu wa serikali ya chama cha mapinduzi, wastaafu waliamua kufunga barabara ya H.Mwinyi eneo la daraja la selender. Waliondolewa kwa nguvu za jeshi la polisi

2.JPG


MAMA alishindwa kujizuia jinsi ZULUMA inavyozuia mafao yao. Analia kwa uchungu mkubwa akijigaragaza barabarani.

Wazee


Vikongwe wa Afrika ya mashariki wakila mkong'oto kutoka kwa askari polisi kuwaondoa barabarani


a1.jpg


29102008%28005%29.jpg


Serikali ya JK ilitumia kila aina ya zana kuhakikisha hawa wazee wanazibitiwa. Hapa ni nje ya ofisi za shirika la reli.

Hawa wazee hawajui huu ndiyo wakati wa kudai haki zao, hii ni weak point nyingine ya JK na CCM mzee umetukumbusha.
 
Na mkileta za kuleta nitawapa vichwa hadi muugue malaria:

8D6U2582-Rais_AU3.jpg

Nichagueni nimwage Bajaji 400 kila wilaya kwa ajili ya kinamama wajawazito - tuone sasa CHADEMA nao watamwaga nini? hawana jeuri wale watani zangu tu teh teh teh
 
anawajali sana.....mbona huwa anawaita mara kwa mara pale ikulu kuwalisha pilau na kujifanya kuongea na wananchi kupitia wazeee?????
anawajali kwani wakienda wanaondoka na posho za maana wakiwa wamelishwa tupilau...jk bwana we acha tu...hao wengine ni wale wazee ambao uraia wao una mashaka kwa jk ndiyo maana wanalalamika sana..
 
Kuna watu wanakuja humu kutetea kwa nguvu serikali dhalimu ya Kikwete bila kuangalia adhari kama hizi za wazee wetu kudhulumiwa haki yao kwa muda mrefu.
wazeelia.bmp
2.JPG

Luteni thanks. Infact yapo mabango mengi tu nikiyaona huko barabarani nasikia kutapika naishia kujuta kwanini macho yangu yameona udhalimu huo. Moja liko pale njia panda ya kigogo, mgombea wa ccm anaonekana akimsikiliza mtoto albino ujumbe wake ni jk ni msikivu. I feel very sorry hivi kama huo ndio usikivu atawasikiliza wangapi kwa style hiyo? Haya msikivu wakati matendo yake ni kuwalinda mafisadi mwanzo mwisho? Rasilimali za nchi ameziacha zinaliwa na wachache huku akiacha maskini wakiishi maisha mabovu kuliko maelezo then tunamwita msikivu kipi hicho anachosikia? anawasikiliza nani zaidi ya mafisadi? Hatuwezi kununuliwa kirahisi namna hii.

In my very honest opinion hakuna hata jambo moja alilofanya jk toka aingie madarakani kuonyesha anawajali masikini na kwamba wao ndio maboss wake wenye nchi-narudia HAKUNA kila kitu ni business as usual hakuna priorities basi tu tunaenda ili mradi. Maisha bora aliyoahidi 2005 imekuwa story no wonder kwa aibu kubwa sijamsikia akitamka huo upuuzi tena this time around.Pole baba na team yako!
 
Mojawapo ya mabango ya kampeni za ccm, linamwonyesha JK akinong'onezwa jambo na mzee mmoja, likiwa na ujumbe

"JK ANAWAJALI SANA WAZEE".

Picha hizi zinaonyesha jinsi JK anavyowajali wazee.


a3.jpg


Wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika ya mashariki wakiwa nje ya lango kuu la kuingilia ikulu, wakitegemea Rais Kikwete angewajali ili awasaidie walipwe mafao yao, lakini waliondolewa kwa virungu vya polisi

wazee+wa+ea.JPG


Hapa siyo uani mwa nyumba ya mtu, la hasha, hapa ndiyo makazi ya wastaafu wa jumuia ya afrika ya mashariki nje ya ofisi za makao makuu ya shirika la reli kando kando ya barabara ya UHURU, wameishi hapo kwa zaidi ya miaka mitatu.

wazeelia.bmp


Baada ya juhudi zao za kudai haki yao kugonga mwamba mgumu wa serikali ya chama cha mapinduzi, wastaafu waliamua kufunga barabara ya H.Mwinyi eneo la daraja la selender. Waliondolewa kwa nguvu za jeshi la polisi

2.JPG


MAMA alishindwa kujizuia jinsi ZULUMA inavyozuia mafao yao. Analia kwa uchungu mkubwa akijigaragaza barabarani.

Wazee


Vikongwe wa Afrika ya mashariki wakila mkong'oto kutoka kwa askari polisi kuwaondoa barabarani


a1.jpg


29102008%28005%29.jpg


Serikali ya JK ilitumia kila aina ya zana kuhakikisha hawa wazee wanazibitiwa. Hapa ni nje ya ofisi za shirika la reli.


Kila mtanzania ana haki ya kudai haki zake kwa kufuata sheria na taratibu zilizoko.Tatizo lililojitokeza kwa hawa wazee wetu wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki ni kwamba walifanya maandamano bila ya kufuata sheria na taratibu za nchi.Kama wangefuata taratibu zote za kufanya maandamano, wasingezuiwa na vyombo husika.
 
Vile vizee ndio viganga vyake na pale vilikuwa vikimpa dawa na maagizo ya namna ya kuzitumia ndumba hizo
Mojawapo ya mabango ya kampeni za ccm, linamwonyesha JK akinong'onezwa jambo na mzee mmoja, likiwa na ujumbe

"JK ANAWAJALI SANA WAZEE"
.

Picha hizi zinaonyesha jinsi JK anavyowajali wazee.


a3.jpg


Wazee wastaafu wa jumuiya ya Afrika ya mashariki wakiwa nje ya lango kuu la kuingilia ikulu, wakitegemea Rais Kikwete angewajali ili awasaidie walipwe mafao yao, lakini waliondolewa kwa virungu vya polisi

wazee+wa+ea.JPG


Hapa siyo uani mwa nyumba ya mtu, la hasha, hapa ndiyo makazi ya wastaafu wa jumuia ya afrika ya mashariki nje ya ofisi za makao makuu ya shirika la reli kando kando ya barabara ya UHURU, wameishi hapo kwa zaidi ya miaka mitatu.

wazeelia.bmp


Baada ya juhudi zao za kudai haki yao kugonga mwamba mgumu wa serikali ya chama cha mapinduzi, wastaafu waliamua kufunga barabara ya H.Mwinyi eneo la daraja la selender. Waliondolewa kwa nguvu za jeshi la polisi

2.JPG


MAMA alishindwa kujizuia jinsi ZULUMA inavyozuia mafao yao. Analia kwa uchungu mkubwa akijigaragaza barabarani.

Wazee


Vikongwe wa Afrika ya mashariki wakila mkong'oto kutoka kwa askari polisi kuwaondoa barabarani


a1.jpg


29102008%28005%29.jpg


Serikali ya JK ilitumia kila aina ya zana kuhakikisha hawa wazee wanazibitiwa. Hapa ni nje ya ofisi za shirika la reli.
 
Kila mtanzania ana haki ya kudai haki zake kwa kufuata sheria na taratibu zilizoko.Tatizo lililojitokeza kwa hawa wazee wetu wastaafu wa jumuiya ya afrika mashariki ni kwamba walifanya maandamano bila ya kufuata sheria na taratibu za nchi.Kama wangefuata taratibu zote za kufanya maandamano, wasingezuiwa na vyombo husika.

Madai yao ni ya tangu mwaka 1977 jumuia ilipovunjika leo hii ni miaka 33 imepita hawajalipwa, bado huna haya kutamka kuwa wafuate "Sheria na taratibu" ?
 
Back
Top Bottom