Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kuna wakati unakuta Mwalimu anayeishi ktk nyumba kama hii anatumiwa na CCM kurubuni wapiga kura na kushiriki/kutoa msaada katika wizi wa kura. NANI KATUROGA HATA TUSIYAONE HAYA ?
Kutokana na maisha magumu huko wanako ishi akipewa buku 5 na bia 2 basi anasahau kuwa anaishi kwenye nyumba mbavu za mbwa.