Hivi Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 hawa Mabinti wa 20's na 30's Mnaowaoa na Kuzaa nao huwa hampigiwi na hambambikiwi Watoto kweli?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,571
108,927
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
 
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
Rudi kweny reference za kiafya na vitabu vya kibailojia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
Unashangaa we hujawahi sikia mzee mwenye miaka 70 kabaka na kampa mimba mtu,mugabe wale mapacha wake kawapata akiwa around 70
 
Unashangaa we hujawahi sikia mzee mwenye miaka 70 kabaka na kampa mimba mtu,mugabe wale mapacha wake kawapata akiwa around 70
Siyo kwamba Hayati Mugabe alichapiwa tu hasa Ukizingatia kuwa Mjane Grace alikuwa bado Anadai ( siyo Mkubwa kivile ) na kwamba kuna Wajuba ( hasa wa Kikosi cha Ulinzi ) walikuwa wanampelekea Moto wa Volcano Ikuluni mwake?
 
Hili jambo ni la Sayansi ya kibaiolojia hutakiwi kuandika kihisia.

Kwanza ungeweka umri wa mwisho mwanaume kuweza kutungisha mimba.

Jee mtu Wa miaka 70 hawezi kutungisha mimba??

Rest in Peace Mzee Reginald Mengi.
Na kwanini Watoto wao wanaowapata wakiwa na Mahusiano na hawa Mabinti kwa 99,99 huwa hawafanani nao?
 
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?

Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?

GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%

Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
Hoja yako aina akili ....kupigiwa ni kawaida tu uwe mzee au kijana ...pili kubambikiwa watoto kwa wazee siyo ishu kwao maana wanachukua wanawake hata wenye watoto na kuishinao na kuwalelea watoto ....tatizo lako wewe muuliza swali unadhani hisia za wazee na akili zao ni sawa na vijana ....kijana kulea mtoto wake mwenyewe ni issue sembuse kulea mtoto asiye wake....ila kwa wazee ni tofauti wao kumlea mtoto hata asiye wake kwa mwanamke ni kawaida tu hivyo ukimzalia nje ya ndoa yeye kazi yake ni kulea tu mambo mengine hayana maana kwake
 
Back
Top Bottom