GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,927
Hivi kweli jamani kwa haya Maisha yetu ya Kiafrika ( hasa Kitanzania ) huku Wazee wetu nao wakiwa na Changamoto mbalimbali za Kiafya kutoka na Umri wao huo kwenda wanaweza kuwa na Uwezo wa Kumbebesha Mimba Mabinti wa miaka kati ya 25 hadi 35 na Kuzaa?
Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?
GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%
Haya karibuni rasmi katika Mjadala.
Je, hapa siyo kwamba hawa Wazee wetu wa kuanzia Miaka ya 70 Kiumri huwa Wanabambikiwa tu hizo Mimba na hao Watoto ila Ukweli ni kwamba huwa 'Wanachapiwa' tu na Madogo / Wajuba wenye Nguvu zao na Umri sahihi wa Kubandua Kisawasawa?
GENTAMYCINE nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Mzee wa Umri wa kuanzia mwaka 70 anaweza / anauthubutu wa Kupandikiza Mbegu za Ujauzito kwa Binti wa kati ya Umri wa miaka 25 hadi 35 na Kuzaa ila niliambiwa kuwa huwa Wanachapiwa na Kubambikiwa hao Watoto nitakubali na kuamini kwa 100%
Haya karibuni rasmi katika Mjadala.