Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Watanzania wamechoka na maisha kuwa magumu hawaoni direction ya maisha yao
mbeya walishaonesha ukomavu wao wakampiga JK mawe. Je watanzania katika kuelekea uchaguzi watamzomea na kupiga mawe baada ya kuchoshwa na maisha haya??
mbeya walishaonesha ukomavu wao wakampiga JK mawe. Je watanzania katika kuelekea uchaguzi watamzomea na kupiga mawe baada ya kuchoshwa na maisha haya??