KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
mambo ya viroba vya konyagi!
mazungumzo ya chini ya muaraboini kwenye supu ya utumbo huwa ni utumbo mtupu.
mambo ya viroba vya konyagi!
mpango huu uliwahi kuandikwa na gazeti la udaku la mwanahalisi.... nahisi huu ni mwendelezo wake
Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
Mpango kabambe wa kumvua kikwete kofia ya chama umeiva, mpango huu unaongozwa na vijana. Wana CCM tegemeeni mabadiliko makubwa
naona ff,ms,rejao wamekususa leo,au nape kakupendelea wewe leo mambo ya airtime
Wampe uenyekiti Dr Love Nchimbi atawafaa kuimalizia ccm.
kaka tumia akili katika siasa unapopambana na jk ebu fikiria sijui kama unafahamu watu kama el hatakuwa tena mjumbe wa nec je unalifahamu hilo ? na ukiwauliza kina mwinyi jamaa wanamkubali kwa mikakati slowly but sure
Sasa mkuu kweli Mwinyi nae ni wakumuuliza na akakukubalia ukajiona uko sahihi kabisa?EL anakubalika sana ndani ya wajumbe wa Nec,na ana nguvu mno ndio maana kumvua gamba inakua issue,na mbaya zaidi kwa c.c.m wewe unamuona nani ni msafi kiasi cha kumnyooshea kidole mwenzake?wote wamechafuka mkuu
Hata zitto kipindi alipothubutu kumpima ubavu mbowe alikua na nguvu kwenye nec lakini unajua kilichotokea?jina lake halikufika huko nec,walimchinjia baharini
pointi yangu hapa ni jinsi ya kucheza karata zake kama mwenyekiti labda niwape kidogo hivi sasa wabunge wote wa ccm hawatakuwa wajumbe wa halmashauri kuu yao ya taifa yaani nec akiwemo el na hii inakujaje ? ukiwa nje ya nec kupanga mkakati ni ngumu ndo maana nasema jk katika siasa ni smart