Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Mkuu Mwanakijiji, Uliwahi kumshauri EL kuwa karibu na Jk na yeye ndio amefanya hivyo katika, Nakumbuka katika makala zako katika gazeti la Tanzania Daima uliyasema haya bwana, Sisi hapa Tutajua ni yapi, Tazama hata yale ambayo Makamba anayafanya kule kwa Mh Sitta?? ndio utajua kuwa hawa jamaani lao moja.