jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Ha ha ha...!Ni kama swali la kati ya yai na kuku kipi kilianza,sort of!Binafsi nadhani either or can stimulate the growth of our economy hence better standards of living and so forth.Kwa wale wanaodai elimu kwanza,je hawaoni kuwa ubongo unategemea sana chakula?Ni wazi kwamba ili upate elimu bora ni lazima uweze kula vyema kwanza....Kama tunaweza kuji sustain kwenye uwezo wa kujilisha,then tunaweza kumove on kuprioritize elimu.
Kuna wanaodai kuwa ni lazima kuwe na elimu ambayo itatupatia uwezo kulima kilimo bora,je mnazungumzia kilimo cha individuals ama mnazungumzia large scale?Ni vyema ukawepo mpango wa namna ya kuwalisha wananchi kwa large scale agriculture ambayo itakuwa sustained kwa kutumia irrigation projects.Huwezi kumpa mwananchi elimu kwanza bila ya kujua atakula nini.
Kuchagua kuku(kilimo) ni bora kuliko kuchagua yai(elimu),matokeo ya kuchagua either or ni the same,however kuchagua yai kuna implications ambazo zinaweza zisitufikishe kule ambapo uchaguzi wa kuku(kilimo)ungetufikisha.
Mfano ukichagua kuku(kilimo)una option ya kumkeep na baadae anaweza kupata yai(elimu) na manufaa yake,ambapo utakula kwa ajili ya protein na mengine utayaacha yaangue firanga ili kuweza kuzalisha kuku wengine(more agricultural sustainable capabilities).On the other hand,kuchagua yai(elimu) kunaweza kuwa costly kama hakuna sustainable enviroments ya kuyaangua ili uweze kupata vifaranga,ambavyo itabaidi uvikuze ,hapo ni gharama kabla hata ya manufaa,kwasababu mazingira ya kulifanya yai liangue ni sawa na mazingira ya elimu bora,yanategemea chakula bora,they go hand to hand....Na kwahiyo usipokuwa na chakula bora(kuku),hata hilo yai(elimu)halitapata wa kulilalia ili liangue vifaranga.
Kwa hiyo kwa upande wangu hadi uswa huu naungana na kauli ya kilimo kwanza unless members wengine mniconvince otherwise.
Kuna wanaodai kuwa ni lazima kuwe na elimu ambayo itatupatia uwezo kulima kilimo bora,je mnazungumzia kilimo cha individuals ama mnazungumzia large scale?Ni vyema ukawepo mpango wa namna ya kuwalisha wananchi kwa large scale agriculture ambayo itakuwa sustained kwa kutumia irrigation projects.Huwezi kumpa mwananchi elimu kwanza bila ya kujua atakula nini.
Kuchagua kuku(kilimo) ni bora kuliko kuchagua yai(elimu),matokeo ya kuchagua either or ni the same,however kuchagua yai kuna implications ambazo zinaweza zisitufikishe kule ambapo uchaguzi wa kuku(kilimo)ungetufikisha.
Mfano ukichagua kuku(kilimo)una option ya kumkeep na baadae anaweza kupata yai(elimu) na manufaa yake,ambapo utakula kwa ajili ya protein na mengine utayaacha yaangue firanga ili kuweza kuzalisha kuku wengine(more agricultural sustainable capabilities).On the other hand,kuchagua yai(elimu) kunaweza kuwa costly kama hakuna sustainable enviroments ya kuyaangua ili uweze kupata vifaranga,ambavyo itabaidi uvikuze ,hapo ni gharama kabla hata ya manufaa,kwasababu mazingira ya kulifanya yai liangue ni sawa na mazingira ya elimu bora,yanategemea chakula bora,they go hand to hand....Na kwahiyo usipokuwa na chakula bora(kuku),hata hilo yai(elimu)halitapata wa kulilalia ili liangue vifaranga.
Kwa hiyo kwa upande wangu hadi uswa huu naungana na kauli ya kilimo kwanza unless members wengine mniconvince otherwise.