Tanzaniaone
Member
- Apr 21, 2012
- 28
- 25
Ninapenda kuchukua fursa hii kupingana na dhana ambayo kwa mtazamo wangu haiwezi kumletea Tija mtanzania mkulima kama tutaangalia na kupokea misemo kutoka kwa wanasiasa ambao farsafa zao wameziweka kwenye kitu siyo mtu ,tutakuwa watu wa ajabu kama tutajadili kilimo kwanza na elimu kwanza bila kutanguliza mkulima kwanza amabye yeye kama yeye anahitaji kuwezeshwa na kujengewa mazingira ya kuweza kulima ikiwa ni kumpa uwezo wa kukupa na shamba lake kuwa dhamana bila mambo ya ujanja kama mpango wa kilimo kwanza ulivyo,kwa picha ya juu juu unaweza kuuona kama una tija na maendeleo makubwa kwa mtanzania wa kawaida lakini kwa undani kabisa hilo jambo halipo ni kwa baadhi tu tena wenye nafasi,na suala la elimu kwanza pia ni suala la kuangalia kwa makini kwani tayari tuna vyuo vimezalisha mabwana shamba wa kutosha na suala la elimu ya kulima sidhani kama watu wengi hawajui japokuwa msimu unabadilika kulingana na uharibifu wa tabia nchi,tukikumbuka enzi za nyerere watu walikuwa wakilima na bado kilimo kikawa ndiyo uti wa mgongo wa taifa na itaendelea kuwa hivyo kama tutawajali wakulima,katika kuwajali wakulima kwanza watu wengi watapenda kilimo na hakuna asiyejua kuwa kilimo ndiyo ukombozi wa mtanzania na mnyongeKIK​