Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kuna taarifa kuwa Rais yuko njiani kuelekea FINLAND
Hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya
Leo TBC wanaweza kutoa habari ya kuwa Rais yupo lakini picha zitatoka maktaba
Usiniulize sosi
Hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya
Leo TBC wanaweza kutoa habari ya kuwa Rais yupo lakini picha zitatoka maktaba
Usiniulize sosi