Kuna taarifa kuwa Rais yuko njiani kuelekea FINLAND
Hii imekuwa siri kubwa maana mgomo wa madaktari umefikia pabaya
Leo TBC wanaweza kutoa habari ya kuwa Rais yupo lakini picha zitatoka maktaba
Usiniulize sosi
Anaallegy na safari huyu mshikaji
Hii mbona kama uzushi? Si tulisikia kwenye vyombo vya habari kuwa ameitisha mkutano wa dharura nec tarehe 12-02-2012?
Au imekuwaje tena mkuu?