Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Mkulu haachi kitu sasa hivi anahudhuria sherehe za miaka 50 ya Chama cha Kidemokrasia nchini Botswana....amabapo hata Mzinduzi angweza kwenda.
Madelina Albright aliwahi kunukuliwa akisema..nimesafiri sana kiasi kwamba hata hapa nilipo sijui niko wapi...hii inaelekea kumkumba JK.........
Madelina Albright aliwahi kunukuliwa akisema..nimesafiri sana kiasi kwamba hata hapa nilipo sijui niko wapi...hii inaelekea kumkumba JK.........