botwsana ni nchi inayoajiri sana watanzania
labda kaenda kutuombea nafasi zaidi tuajiriwe huko who knows
kisheria angetakiwa aende.
1.waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa.
2.katibu mkuu wa chama cha mapinduzi.
3.wajumbe kadhaa wa ccm.
May be na wajumbe kadhaa watakaokuwa na umuhimu.
Mbona kirumba hakukuwa na maraisi.
Note:
Jk hajui kuikonomaizi ingawa kasoma uchumi.
Maaskofu walituaminisha kua sauti ya wengi ni sauti ya mungu...Je kilio cha wengi ni sauti ya...........? CCM yenyewe imeadhimisha miaka 50 hatukuona kiongozi wa nchi yeyote alietia pua yake kirumba sasa kwanini JK? Haya ni baadhi ya maswali wanaCCM walipaswa wamuulize? mie nadhani baada ya kutoswa ulaya,US,UK UARABUNI sasa ameanza kutembeza bakuli lake AFRICA..........AIBU ya karne
Naye ameenda!
Sheria za wapi hizo? Hahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
JouneGwalu,
Mie simlaumu JK sikuhizi. Nahisi sisi ndo hatumwelewi.
Mie nangoja astaafu siku nimtafute nimuulize bila jazba naamini kabisa ana majibu sahihi kabisa.
Ameenda kuwaombea chakula, punguzeni jaziba otherwise atasusa abaki tu hapa nchini na mwisho chakula kiwaishie mfe njaa.