Watanzania,
Hivi kweli mnapenda story za udaku namna hii?.
Kila siku huwa nasema na kusisitiza anzeni kufikiri kwa kutumia ubongo wenu acheni magazeti na mitandao kuwafikiria.
Ndio maana mnalialia kila kukicha maisha magumu, hayawezi kuwa raisi kama mnaamini story ya kutunga kama hiyo hapo juu.
UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.
Hawa watu wa ajabu sana kila siku kujipanga kugombea madaraka kitu maendeleo kwa wananchi hakitamkwi tumechoka na thread hizi za watu wa mitandao na wenye uroho wa madaraka wakati umaskini unashambilia nchi na wanachi utafikiri kirus cha kompyuta au hiv
Watanzania,
Hivi kweli mnapenda story za udaku namna hii?.
Kila siku huwa nasema na kusisitiza anzeni kufikiri kwa kutumia ubongo wenu acheni magazeti na mitandao kuwafikiria.
Ndio maana mnalialia kila kukicha maisha magumu, hayawezi kuwa raisi kama mnaamini story ya kutunga kama hiyo hapo juu.
Wow! this is powerful... yaani nasoma narudia kusoma na usoma hadi nashindwa kuelewa siasa za Bongo...Wanikumbusha Mzee Es wakati wake..Mr President,
Ningekuwa na muda ningekueleza mengi sana. Muda wangu ni kidogo sana ndiyo maana nashindwa hata kupost mambo mengi kuhusu taifa hili hapa JF. Ninatuma post hii si kwa lengo la kukutisha. Lengo ni kukukumbusha uwe makini ili usijefanya uamuzi wa hovyo na kuliingiza taifa katika machafuko na kuharibu timetable za watanzania. Machafuko ndiyo tunayoyakwepa lakini si wewe (I have to tell you the truth because you are not my breadwinner at all).
wacha uvivu wa kusoma na kufikiri...Huu mzunguko mbona nimeshindwa kuuelewa? Aliyesoma akaelewa ajaribu kunisaidia ili na mimi nisiachwe nyuma. Nini chimbuko la waraka huu? Tiba
UPUPU wa kutaka kumchafua Lowassa na Rostam.
Hata mkifanyaje tunawajua wala hatushikiki. Good story telling though.