sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Kwa kifupi kabisa inadaiwa Ally Karume hamtambui Dkt. Mwinyi ambaye ni Rais wa sasa kuwa alishinda Urais, badala yake anaamini Maalim Sharifu Hamadi alishinda Urais huko Zanzibar.
Inadaiwa leo baada ya kutoa kauli tata, kikosi Maalum cha WanaTISS kimemwita kumweka sawa, amefanyiwa mahojiano zaidi ya saa mbili.
Hii sio ishara nzuri, ikumbukwe huyu bwana naye aliutaka Urais enzi za Dkt. Shein wakampiga Ubalozi ili kumtuliza wenge.
Sasa wanahaha maana ana Kinga ya Ubalozi huwezi mfikisha mahakamani. Njia peke ni kumpiga kizuizini na Ili naona linakuja soon.
Inadaiwa leo baada ya kutoa kauli tata, kikosi Maalum cha WanaTISS kimemwita kumweka sawa, amefanyiwa mahojiano zaidi ya saa mbili.
Hii sio ishara nzuri, ikumbukwe huyu bwana naye aliutaka Urais enzi za Dkt. Shein wakampiga Ubalozi ili kumtuliza wenge.
Sasa wanahaha maana ana Kinga ya Ubalozi huwezi mfikisha mahakamani. Njia peke ni kumpiga kizuizini na Ili naona linakuja soon.